KaziIendelee
JF-Expert Member
- Oct 30, 2013
- 327
- 229
Sahv nipo lecture,ila kwa mtindo huu sidhani......,No chairs,mic mbovu,kila kitu ovyo......,hapa tunapata shida sana....
Sahv nipo lecture,ila kwa mtindo huu sidhani......,No chairs,mic mbovu,kila kitu ovyo......,hapa tunapata shida sana....
Hama chuo
Acha kumuongoza kupofu shimoni, hivi ni nani hapa duniani hapendi kusoma UDSM...
umetokea International School?
wenzio ndo mazingira tuliyosomea tangu shule ya msingi mpaka chuo kikuu na hapa nafanya kazi na experts wa ulaya wananikubali mpaka basi.
acha excuses fata kilichokupeleka. piga shule tu
huo ni ukoma wa mawazo na kwa hayo mawazo yako coz work 2 sitakurudisha kwenu
mmh! hadi ukapata muda wa kuandika hapa kweli kila kitu hovo..! isije kuwa lecture inakutoa patupu! mic kuwa mbovu.. nalo ni ishu? ina maana wewe leo ndo siku ya kwanza kuhudhuria lecture hapo? tatizo hilo limeonekana leo tu? au leo wewe ndo umekosa kiti basi umepata na muda wa kujungunga huku? hebu tulia hapo na usome mwalimu! ndo digrii yako inapopatikana hapo!
Tatizo linajulikana na linashughulikiwa. Sasa wewe mlalamiakaji hapa kwenye jamvi utapata ufumbuzi gani? Peleka malalamiko yako kwa menejimenti ya chuo au kwa viongozi wako wa DARUSO. Au ni mwaka wa kwanza hata ofisi hujui zilipo? Taabu ya kuchelewa au kupuuzia orientation week.
Kutokujua mazngira ya elmu nchini napo ni tatizo.
Kwa jinsi navyopafahamu MUCE,ni pazuri ukilinganisha na mazngira ya vyuo vingi nchini.
So,napata tabu kumuelewa huyu dogo,cjui ametokea CANADA au UK?
Mdogo wangu,soma!
"Matatizo ni chakula cha maono yako"
Na nahc unateseka sna hasa ktk lecture za DS,EP ama EF.
Kaka mm cjasoma international,ila nashindwa,hichi ni chuo au tosamaganga