Yaani Rais anafitinishwa hivi hivi - Usajili wa laini simu usilete chuki

Mimi nimeshajikatia tamaa. Litakalokua na liwe. Maana kazi yangu haina off siku za kazi na mwajili wangu sio mwelewa kwamba naweza fuatilia kitambulisho cha taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Zikizimwa watu mtashughulika, hadi ifanywe kweli mtaendelea na vijisababu mara hiki mara kile, kitambulisho ni haki ya kila mmoja, na kitamsaidia mama yako kwa mambo mengine mengi, hivyo msaidie hivyo hivyo ulivyomsaidia akapata simu.
 
Zikizimwa watu mtashughulika, hadi ifanywe kweli mtaendelea na vijisababu mara hiki mara kile, kitambulisho ni haki ya kila mmoja, na kitamsaidia mama yako kwa mambo mengine mengi, hivyo msaidie hivyo hivyo ulivyomsaidia akapata simu.
Majibu ya kibabe babe tu - umeshiba ndugu yetu. Wanavyosaidiwa huko kwenu Chato sio kama wanvyosaidiwa huku kwetu Shinyanga.
 
Majibu ya kibabe babe tu - umeshiba ndugu yetu. Wanavyosaidiwa huko kwenu Chato sio kama wanvyosaidiwa huku kwetu Shinyanga.

So kila mtu anayekubali jitihada nzuri za rais, atakua ametokea Chato, usajiri wa simu ni muhimu sana kwa usalama wa taifa, kitambulisho pia kina umuhimu mkubwa, kawasaidie bibi,babu na wazazi kijijini wacha vijisababu, siku ukijua umuhimu wake utakesha ukipambana kuwasaidia.
 
Mtu unayemiliki simu hauwezi kushindwa kufuata kitamulisho, acheni uzushi rais anafanya jitihada za kulinda watu wake dhidi ya matapeli.
Hata muda ukiongezwa miaka kumi bila kuwa mkali bado mtaendelea kusuasua.
Tayari zoezi lishaingia dosari ujayasikia ya shortuct kukwepa foleni,imekuwa biashara za watu watz ni watu wa fursa wanauza line zilizosajiliwa tayari.
 
Rais angekuwa serious kama.badala ya kuwaagiza TCRA wafunge line ifikapo 21/01/2020, angeanza kuwaagiza Nida wahakikishe ama wametoa vitambulisho vyote ama namba kabla ya tarehe hiyo. Nimetoka Nida wilaya yangu, nikaambiwa kwamba niwe tu mpole kwa sababu ndio kwanza wanamalizia kupiga picha na kwamba hata kuzituma nida makao makuu bado. Mimi nimeandikishwa mwaka mmoja uliopita, vyote viwili nanba au kitambulisho sijapata.
 
Tayari zoezi lishaingia dosari ujayasikia ya shortuct kukwepa foleni,imekuwa biashara za watu watz ni watu wa fursa wanauza line zilizosajiliwa tayari.

Ukiuza laini yako halafu itumike kwa uhalifu, itakula kwako, akikamatwa mmoja na itangazwe nchi yote kwamba aliuza laini na ikatumika vibaya, watu watatia akili.
 
Mimi naona huo muda ni mkubwa sana,nimeshachoshwa na zile SMS za ile pesa itume kwa hii namba xxxxxxxxx jina litakuja mwanaidi mwakatope

Sent using Jamii Forums mobile app
Alitakiwa kuwahimiza NIDA wamalize kszi yao sio kuweka meisho au kama ni mwisho awape NIDA sio wananchi, ni mwaka wa 3 sasa sijawahipata hicho kitambulisho nakila mara najiandikisha
 
Ukiuza laini yako halafu itumike kwa uhalifu, itakula kwako, akikamatwa mmoja na itangazwe nchi yote kwamba aliuza laini na ikatumika vibaya, watu watatia akili.
Ujaelewa sio muhusika anauza line yake bali taarifa zake zawezatumika kuwasajilia watu wengine kuna usalama gani tunapoacha taarifa zetu kwenye database za makampuni binafsi?
 
Wakiongeza nguvu kazi NIDA na masaa ya kufanya kazi wana uwezo wa kuwamaliza watu wote hata kabla ya hizi siku 20 kwisha
 
Leo ndo mwisho trh 31 kwa mujibu wa ujumbe za Simu.Mtakaofungiwa mjiandae kuwasiliana,kwa barua
 
Moja ya taarifa muhimu unapojaza fomu ya NIDA ni namba ya simu ya mkononi na email. Sasa kwanini NIDA wanapokamilisha usajili wanashindwa kuwatumia wahusika namba zao za utambulisho kwenye email zao au namba zao za simu mpaka waende wakapange foleni kuchukua namba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sehem pekee Magu atakapowanyanyua tena ni hapa hapa,itaitwa fungua mwaka atakapositisha zoez zima mpk watu wapate namba za nida... Halaf tutashangilia hureeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakifunga line tarehe 20 January wataziletea hasara kubwa kampuni za simu ni mara mia wangezishauri kampuni za simu zipungue zisalie 3 mfano sasa Tigo kawanunua Zantel na TTCL wawanunue Airtel, voda wawanunue Halotel kuwepo na kampuni 3 kubwa itakuwa kuwa rahisi kwao, hakuna Nchi Duniani yenye kampuni. Nyingi za simu kama Tanzania.
 
Kama ni sheria fata sheria mkuu.
Mbona walitoa mda wa kutosha kwanini ujajisajili mda wote huo???

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi zilizoendelea kama China South Africa na sehemu nyingi Duniani hawana Sheria za hivyo kule unanunua line kwa kitambulisho cha aina yeyote na ukitumia unatupa ukitaka ingine unanunua tena, Sheria zingine ni ni Sheria zisizo na Tija kwa Taifa mda wa kutosha ndiyo nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…