Miaka minne bila nyongeza ya mshahara na bado huyo mwalimu anaandika hivyo? huyo mwalimu atakuwa anauza Bangi siyo bureLakini wako wachache wana mawazo haya hapa.
Sijui tuwafanyeje?View attachment 1308034
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehem pekee Magu atakapowanyanyua tena ni hapa hapa,itaitwa fungua mwaka atakapositisha zoez zima mpk watu wapate namba za nida... Halaf tutashangilia hureeeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE kampuni za simu watapata hasara kubwa line zikifungwa ]
Utatumia namba ya kenya Uganda zambia Burundi Rwanda Malawi msumbiji kwa wale waliopo mipakani na pia wa ndani watatumia Whatsapp kupiga simuSi yetu macho tuu inagawa me nimiongoni mwa watu ambao hata office za Nida cjui zilipo, acha tupumulie mipira tukiamini cku zetu za kuwa hewani zinahesabika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitoshi ni michache sana huko NIDA hawapo Digtal kuna usumbufu mwingi
Siyo chadema pekee watanzania wote hawapendi hiyo kero mda ni mchache na NIDA wapo slow slowMuda lazima uongezwe maana CHADEMA wanaweza kutokea mafichoni na kuutumia huu usajili kama kick na kama mnavyomjua mkuu hawezi kukubali lazima aongezemiezi mingine kadhaa
Sera zinazoenda na wakati ziko Chadema usitegemee CCM kuja na jipya la kumuonea huruma Mwananchi
Ndugu zangu Watanzania uchaguzi 2020 ndio wakati wa kuiadhibu CCM
China Nchi iliyoendelea sana hakuna usumbufu huo kule ukisajili line kama huna kitambulisho chochote unapigwa picha yako na unapewa line wanafanya biashara ndiyo maana uchumi wao unakua haraka, Tanzania kwa visingizio vya ajabu wanaenda kuziletea hasara kubwa kampuni za simu ni hatari kwa uchumi wa NchiSera zinazoenda na wakati ziko Chadema usitegemee CCM kuja na jipya la kumuonea huruma Mwananchi
Ndugu zangu Watanzania uchaguzi 2020 ndio wakati wa kuiadhibu CCM
Ni vigumu Tanzania kupiga hatua kwa ujinga huuTunaelekea 2020 lakini tunafanya mambo ya miaka 1970
Nchi zilizoendelea kama China South Africa na sehemu nyingi Duniani hawana Sheria za hivyo kule unanunua line kwa kitambulisho cha aina yeyote na ukitumia unatupa ukitaka ingine unanunua tena, Sheria zingine ni ni Sheria zisizo na Tija kwa Taifa mda wa kutosha ndiyo nini?
Nimeshangaa sana baada ya Rais kubadili Maelekezo yake. Mwanzoni alikiri kuwa ni vigumu usajili kukamilika kwa kutumia Vitambulisho vya Taifa lkn jana ameelekeza kuwa kufikia Tarehe 20 Januari 2020 usajili huo uwe tayari. Nikaangalia nilipo mimi huku Idukilo - ukitaka kukutana na NIDA mpaka uende Kishapu, nafuu mie nina kabaiskeli. Nikiangalia kaya kama 792 huku Idukilo wenye vitambulisho vya NIDA au namba za NIDA hawazidi 200 (hizi ni kaya zenye uelewa kidogo). Kati ya kaya hizo 792 kaya kama 500 hivi wanamiliki simu - ingawa nyingi zao ni za tochi. Sasa hawa 500 ambao pengine wanaweza kusajili laini zao kwa Vitambulisho vya NIDA ni kama hao 200 niliosema. Kwa maana hiyo kufikia Tarehe 21 Januari 2020 kijijini kwetu laini za simu zisizopungua 300 zitakuwa disabled kupata mawasiliano. Hebu chukua kijiji kingine na kingine. Yawezekana Chato, Darisalama na Dodoma hali hii isiwepo lkn kwa Tanzania nzima vitambulisho au namba za NIDA hazijawafikia wengi sana.
Maelekezo aliyoyatoa Rais kama yametoka kwa kupitia kwa washauri wake basi siamini km hawakujua ni ushauri unaoelekea kumjengea chuki Rais na wanachi wa hali ya chini ambao siku zote amesimama kidete kuwatetea. Angeweza kueleweka vizuri Rais pengine angeeleza pia ni kwa nini kabadili kauli yake ya mwanzo au angeelekeza basi usajili utumie hata utambulisho mwingine kama vile barua za watendaji, vitambulisho vya kupigia kura au namna yeyote ile wakati wananchi husika wakifuatilia vitambulisho vya NIDA. Zaidi ya yote Rais angeweza kuongeza muda usiopungua miezi minne na kuwaelekeza NIDA wafike hadi vijijini. Kwa kweli maelekezo yenye dalili za ubabe kutoka kwa Rais yanazidi kujenga chuki na yanaweza kufanya Uchaguzi ujao watu wakawa wameshazoea ubabe na wakakubaliana nao na kura wakambania kabisa.
Kama kweli tatizo ni hilo, kwanini hukutumia akili kuliondoa hilo tatizo na unatumia nguvu nyingi???Mimi naona huo muda ni mkubwa sana,nimeshachoshwa na zile SMS za ile pesa itume kwa hii namba xxxxxxxxx jina litakuja mwanaidi mwakatope
Sent using Jamii Forums mobile app
Idadi ya kura haitegemei wananchi kujitokeza au la ....go figureNimeshangaa sana baada ya Rais kubadili Maelekezo yake. Mwanzoni alikiri kuwa ni vigumu usajili kukamilika kwa kutumia Vitambulisho vya Taifa lkn jana ameelekeza kuwa kufikia Tarehe 20 Januari 2020 usajili huo uwe tayari. Nikaangalia nilipo mimi huku Idukilo - ukitaka kukutana na NIDA mpaka uende Kishapu, nafuu mie nina kabaiskeli. Nikiangalia kaya kama 792 huku Idukilo wenye vitambulisho vya NIDA au namba za NIDA hawazidi 200 (hizi ni kaya zenye uelewa kidogo). Kati ya kaya hizo 792 kaya kama 500 hivi wanamiliki simu - ingawa nyingi zao ni za tochi. Sasa hawa 500 ambao pengine wanaweza kusajili laini zao kwa Vitambulisho vya NIDA ni kama hao 200 niliosema. Kwa maana hiyo kufikia Tarehe 21 Januari 2020 kijijini kwetu laini za simu zisizopungua 300 zitakuwa disabled kupata mawasiliano. Hebu chukua kijiji kingine na kingine. Yawezekana Chato, Darisalama na Dodoma hali hii isiwepo lkn kwa Tanzania nzima vitambulisho au namba za NIDA hazijawafikia wengi sana.
Maelekezo aliyoyatoa Rais kama yametoka kwa kupitia kwa washauri wake basi siamini km hawakujua ni ushauri unaoelekea kumjengea chuki Rais na wanachi wa hali ya chini ambao siku zote amesimama kidete kuwatetea. Angeweza kueleweka vizuri Rais pengine angeeleza pia ni kwa nini kabadili kauli yake ya mwanzo au angeelekeza basi usajili utumie hata utambulisho mwingine kama vile barua za watendaji, vitambulisho vya kupigia kura au namna yeyote ile wakati wananchi husika wakifuatilia vitambulisho vya NIDA. Zaidi ya yote Rais angeweza kuongeza muda usiopungua miezi minne na kuwaelekeza NIDA wafike hadi vijijini. Kwa kweli maelekezo yenye dalili za ubabe kutoka kwa Rais yanazidi kujenga chuki na yanaweza kufanya Uchaguzi ujao watu wakawa wameshazoea ubabe na wakakubaliana nao na kura wakambania kabisa.
Ikifanyika hivyo at least lkn si kwa siku 20. Khaaaaa!Nashauri ofisi za NIDA zifunguliwe kila kata na kwa kuanza tuanze na Chato kwa mzee wetu
...wewe upo katikati ya maiti !Usipoteze muda kabisa jifanyie mambo yako tu ....hii nchi ilishajifia siku nyingi.
Be serious please !Sera zinazoenda na wakati ziko Chadema usitegemee CCM kuja na jipya la kumuonea huruma Mwananchi
Ndugu zangu Watanzania uchaguzi 2020 ndio wakati wa kuiadhibu CCM
Michosho tu eee!