Yaani uchangiwe na Maadui wa Kaunda, Chamazi, Kiomboi na Mlaji wa Ndege Mwenyewe halafu Unyanyue Kwapa Kisiwani?

Yaani uchangiwe na Maadui wa Kaunda, Chamazi, Kiomboi na Mlaji wa Ndege Mwenyewe halafu Unyanyue Kwapa Kisiwani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nani aliyewadanganya kuwa hawa Watajwa wote walirejea Tanzania Bara?

Wameshirikiana sana Kiutamaduni.























,,.,,.....,,.....












.....
.,,..
























oni ambaye hakika alishindwa Kufurukuta leo Ziarani Unguja na kuwa Mkali kama ilivyo Asili yake.
 
Miafrika akili zetu sijui tumelogwa na nani,Kila kitu tunawaza uchawi tu

Juzi nilikua najiuliza huyu dogo doku wa man city mbona sikumskia awali, kuja kufatilia tangia ana miaka minne yupo kwenye academy za mpira ndo nikajua kweli hakuna kubahatisha, wenzetu wamewekeza sana kwenye mpira, Kila mchezaji mkubwa kapita kwenye academy tangia akiwa mdogo mpira wamefundishwa hasa

Sasa nyie Simba endeleeni kusajili mababu afu muwe mnalalamika tu kua mnarogwa, mwaka 2006 Togo alifuzu kombe la Dunia eti waganga nchi nzima wakaenda sijui misitu ya wapi kutambikia timu Yao, afu nikawa nashangaa kua viongozi mabwege wa serikali wakawa wanawachangia posho hao waganga kuwapi morali...

Unajua kilichotokea???


Walipigwa game zote yaani waliambulia point 0 na hawajawahi kushiriki tena kenge hao
 
Miafrika akili zetu sijui tumelogwa na nani,Kila kitu tunawaza uchawi tu

Juzi nilikua najiuliza huyu dogo doku wa man city mbona sikumskia awali, kuja kufatilia tangia ana miaka minne yupo kwenye academy za mpira ndo nikajua kweli hakuna kubahatisha, wenzetu wamewekeza sana kwenye mpira, Kila mchezaji mkubwa kapita kwenye academy tangia akiwa mdogo mpira wamefundishwa hasa

Sasa nyie Simba endeleeni kusajili mababu afu muwe mnalalamika tu kua mnarogwa, mwaka 2006 Togo alifuzu kombe la Dunia eti waganga nchi nzima wakaenda sijui misitu ya wapi kutambikia timu Yao, afu nikawa nashangaa kua viongozi mabwege wa serikali wakawa wanawachangia posho hao waganga kuwapi morali...

Unajua kilichotokea???


Walipigwa game zote yaani waliambulia point 0 na hawajawahi kushiriki tena kenge hao
waganga wapigwe marufuku kwenye timu zote hawaleti ushindi, na ushindi ukija si kwa uganga wao bali ni teknikali tu za mchezo. Fukuza wachawi wote kwenye timu
 
Atalaumiwa kila mtu sijui Yanga, Singida, n.k. lakini bila kuujua ukweli na kuufanyia kazi basi hata nafasi ya nne mwaka huu Simba wataisikia kwenye bomba. Kabla saa sita usiku leo Simba ifanye yafuatayo:-
1. Isajili namba tisa "pure" wawili mmoja wa ndani mwingine wa nje. Na wawe wachezaji wenye jicho la goli.
2.Simba isajili aidha kiungo wa juu au namba 10 mbunifu mmoja awe wa ndani au wa nje.

Wachezaji wakuwapisha hao wa kwanza awe Saidoo wengine viongozi watachagu wenyewe.

Ni mtizamo tu.
 
Miafrika akili zetu sijui tumelogwa na nani,Kila kitu tunawaza uchawi tu

Juzi nilikua najiuliza huyu dogo doku wa man city mbona sikumskia awali, kuja kufatilia tangia ana miaka minne yupo kwenye academy za mpira ndo nikajua kweli hakuna kubahatisha, wenzetu wamewekeza sana kwenye mpira, Kila mchezaji mkubwa kapita kwenye academy tangia akiwa mdogo mpira wamefundishwa hasa

Sasa nyie Simba endeleeni kusajili mababu afu muwe mnalalamika tu kua mnarogwa, mwaka 2006 Togo alifuzu kombe la Dunia eti waganga nchi nzima wakaenda sijui misitu ya wapi kutambikia timu Yao, afu nikawa nashangaa kua viongozi mabwege wa serikali wakawa wanawachangia posho hao waganga kuwapi morali...

Unajua kilichotokea???


Walipigwa game zote yaani waliambulia point 0 na hawajawahi kushiriki tena kenge hao
Duh!🫢🫢
 
Atalaumiwa kila mtu sijui Yanga, Singida, n.k. lakini bila kuujua ukweli na kuufanyia kazi basi hata nafasi ya nne mwaka huu Simba wataisikia kwenye bomba. Kabla saa sita usiku leo Simba ifanye yafuatayo:-
1. Isajili namba tisa "pure" wawili mmoja wa ndani mwingine wa nje. Na wawe wachezaji wenye jicho la goli.
2.Simba isajili aidha kiungo wa juu au namba 10 mbunifu mmoja awe wa ndani au wa nje.

Wachezaji wakuwapisha hao wa kwanza awe Saidoo wengine viongozi watachagu wenyewe.

Ni mtizamo tu.
Na wamuondolee suspension MWAMBA WA LUSAKA.
 
Naona wadau mpo mnachukua notice kutoka kwa charistamatic feller aka game changer😍😄😄😄
 
Back
Top Bottom