YAANI ULAMBE

YAANI ULAMBE

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,862
Reaction score
6,438
Hii inatukutanisha sisi mabingwa wa kauli,,, kauli Udambwi udambwi

Kauli mantanshanta ,kauli muunganiko

Ingekuwa kwenye hip hop basi ungweweka kina Msodoki au Stamina na Vijikauli vya

Yaani lazima Ulambe

Labda nianze mimi na kauli

"WAKUU NIKIPATA KAMBA NTAFUNGA NDO"

"WAKUU NIKIPATA NGAZI MI NTAPANDISHA MASHETANI"

"WAKUU MAISHA SAFARI MIE NIMEKUNYWA K VANT"



TIRIRIKA hapa
 
Back
Top Bottom