Yaani unanikataa kisa nina pigo za kichungaji!

Yaani unanikataa kisa nina pigo za kichungaji!

Reptilia

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2018
Posts
867
Reaction score
847
Rejea kichwa Cha habari hapo juu Kuna Dem nimemfukuzia kama mwezi Moja hivi ila alichonijibu et Mimi Nina pigo za kichungaji

Kiukweli Mimi sio mchungaji wala Nini ila sijajua kajifikiria nini kunitamkia hivyo halafu mimi mbona mtu fulani simple tu

Kiukweli kanikata mzuka kabisa hapa nawaza ni bora kula kubwa tu.
 
Rejea kichwa Cha habari hapo juu Kuna Dem nimemfukuzia kama mwezi Moja hivi ila alichonijibu et Mimi Nina pigo za kichungaji

Kiukweli Mimi sio mchungaji wala Nini ila sijajua kajifikiria nini kunitamkia hivyo halafu mimi mbona mtu fulani simple tu

Kiukweli kanikata mzuka kabisa hapa nawaza ni bora kula kubwa tu.
Mkuu,

Ulivyoanza na "Rejea kichwa cha habari hapo juu" umenipa picha ya mtu mmoja kama si mchungaji mchungaji, basi mserikali serikali fulani hivi.
 
Back
Top Bottom