[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]badilika achana na mashat makubwa makubwa na masuruali kama mfuko wa mashine ishi kinyamwezi au kama vipi acha na hao watoto wazuri deal na watu wazima wenzio [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiMkuu,
Ulivyoanza na "Rejea kichwa cha habari hapo juu" umenipa picha ya ntu mmoja kama si mchungaji mchungaji, basi mserikali serikali fulani hivi.
Mimi na wenzangu tunampongeza huyo manzi. Pigo zako sio, utamletea shida. Wewe utakuwa unavaa viatu vya moka mchomoko na suruwali kitambaa za kung'aaRejea kichwa Cha habari hapo juu
kwanza amekubariki kwa kukujulisha kazi unayopaswa kuifanya yaan uchungaji. Tafadhali furahi na kushangilia 🤓Rejea kichwa Cha habari hapo juu Kuna Dem nimemfukuzia kama mwezi Moja hivi ila alichonijibu et Mimi Nina pigo za kichungaji
Kiukweli Mimi sio mchungaji wala Nini ila sijajua kajifikiria nini kunitamkia hivyo halafu mimi mbona mtu fulani simple tu
Kiukweli kanikata mzuka kabisa hapa nawaza ni bora kula kubwa tu.
Ukimshobokea sana atakudharau mwisho wa siku unaitwa mlokole
Next time balance shobo
You are a king tambua thamani yako
hapa nawaza ni bora kula kubwa tu
Unafuatilia demu mwezi mzima. Duuh!Rejea kichwa Cha habari hapo juu Kuna Dem nimemfukuzia kama mwezi Moja hivi ila alichonijibu et Mimi Nina pigo za kichungaji
Kiukweli Mimi sio mchungaji wala Nini ila sijajua kajifikiria nini kunitamkia hivyo halafu mimi mbona mtu fulani simple tu
Kiukweli kanikata mzuka kabisa hapa nawaza ni bora kula kubwa tu.
Kama kweli umejibiwa hivyo mkuu, mwache ni swala la mud tu atakukumbuka. Itakua unaonekana hivyo kwa kuwa una pigo za kujiheshimu ambazo zinakufanya uonekane mtu mzima. Sio mesi huyo bado anataka kuruka na wanyoa viduku, ndio anawaona wajanja na wewe mchungaji ni mshamba. Wakisha mzalisha kumwacha atamkumbuka mchungaji na kutamani aolewe nae.Rejea kichwa Cha habari hapo juu Kuna Dem nimemfukuzia kama mwezi Moja hivi ila alichonijibu et Mimi Nina pigo za kichungaji
Kiukweli Mimi sio mchungaji wala Nini ila sijajua kajifikiria nini kunitamkia hivyo halafu mimi mbona mtu fulani simple tu
Kiukweli kanikata mzuka kabisa hapa nawaza ni bora kula kubwa tu.
Usimseme, kupenda na pengine aliona potential za waife material. Mali lazima itafutwe kwa jasho. Duniani ni fight for fittest.Tatizo vijana mmekua wapuuzi na mnadhalilisha uanaume.. mtu akikukataa siku ya kwanza temana nae. Siku 30 zote umezipoteza kipuuzi sana.