Yaaniii. ...

Sio wote wako hvyo mkuu..Ila kwa wale wanaoangalia chapaa na hawana upendo wa kweli basi lazima waje na hyo lyrics
 
Du! hapa mzungu kaishaibiwa nini?
maana muandiko wa kizungu ,lugha ya kiswahili
mambo ya mujini haya.
 
itakua ni mwanamke wa darndo yuko hivyo.. .......manake manka namuachaga rombo tunaonana maramoja kwa mwaka sababu kurudi mwezi wa kumi na mbili tu.
 
Si unamuacha na kina Machaa, kwayu nk wanamfokoa alafu si kijijini tena na wee sehemu ya nauli ya elf .... haifki hata laki .... na baba yko yupoo akishamdunga anakuita njoo nyumbani haraka kuna kitu nataka nikwambie na ukija ni anakuuliza huko mjini vp unafanya nini na kina fulani mnasaidiana nao sasa hapo utalala siku 2 taatu mzigo lzm uuchape muda kidogo mke anamimba unajua si nilienda nimefanya kweli kumbe waapiii baba ako ndio kidumee.

itakua ni mwanamke wa darndo yuko hivyo.. .......manake manka namuachaga rombo tunaonana maramoja kwa mwaka sababu kurudi mwezi wa kumi na mbili tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…