Yadaiwa CEO alimpa makavu Kanjanja huko Angola akakataa mahojiano

Yadaiwa CEO alimpa makavu Kanjanja huko Angola akakataa mahojiano

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Wololooooooooo haiya haiya haiya, watetezi wa Kanjanja Senior mnaruhusiwa kuja kuporomosha matusi na kudai nina chuki binafsi.

Kweli ulitarajia mtu ambaye huwa unachukia safari zake na lipstick yake una bifu nayo akuchekee tu kama ndalakyuya, wenye akili walijua hukuwa pale kwa nia nzuri.

Kama habari hii ni ya kweli basi kongole kwako Barbara Gonzalez, jino kwa jino dadeeeki!

kanjanja.JPG
 
Simba wasirudie tena kuambatana na yule kubwa la maadui.
ana watu wake kule ndani wanaomtumia kuzua taharuki na vurugu..subiri simba iteleze kidoogo uone moto wake atakaowasha
Alinishangaza sana kipindi kile kuponda safari za Barabara na lipstick yake, dah na aliongea kwa hisia kweli
 
ana watu wake kule ndani wanaomtumia kuzua taharuki na vurugu..subiri simba iteleze kidoogo uone moto wake atakaowasha
Alinishangaza sana kipindi kile kuponda safari za Barabara na lipstick yake, dah na aliongea kwa hisia kweli
anatumia platform ya media zake na aliyoajiriwa kule mawinguni kumsema chief excutive officer.
 
UPDATE tusi we boyaaa umekariri tusi moja tu?nikipost hapa habari ni me screenshot kwa Kigwangwala ina maana automatically mimi ni Kigwa? IQ yako ina matope
Huyo ni shabiki wa yanga

hahaha
 
hahaha
naona digala kama digala kala za uso
 
Wololooooooooo haiya haiya haiya, watetezi wa Kanjanja Senior mnaruhusiwa kuja kuporomosha matusi na kudai nina chuki binafsi.

Kweli ulitarajia mtu ambaye huwa unachukia safari zake na lipstick yake una bifu nayo akuchekee tu kama ndalakyuya, wenye akili walijua hukuwa pale kwa nia nzuri.

Kama habari hii ni ya kweli basi kongole kwako Barbara Gonzalez, jino kwa jino dadeeeki!

GoView attachment 2384594
Let's go with Babra!
 
Mbona majibu yamekaa kizaramo sana hayafananii na CEO wetu.
Kama wamemchomekea hv!!
 
Back
Top Bottom