Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Passo unataka ubadilishe nini zaidi?Kuna yadi moja iko Kinondoni Morocco I am forgetting the name, nilinunua gari pale 2019 mpaka leo nimebadilisha oil, filter na tairi tu.
kheeeePasso unataka ubadilishe nini zaidi?
Teh teh teh, dogo nilishavuka level ya Passo.Passo unataka ubadilishe nini zaidi?
Yeah wanakuja
INSIDER MAN msaidie mwanaMtu asiyetaka kuagiza gari kununua nje anataka kununua tu hapa nchini.
Yadi ipi inayouza magari mazuri waaminifu Tanzania na Zanizibar na inachukua muda gani ukilipa kuchukua gari yako
VISHOKA wameanza kuitana sasa, waanze harakati za kuishi na mleta madaINSIDER MAN msaidie mwana
I am forgetting the name🤣Kuna yadi moja iko Kinondoni Morocco I am forgetting the name, nilinunua gari pale 2019 mpaka leo nimebadilisha oil, filter na tairi tu.
Mbona ile ndo yard kubwa kwa dar mzee,labda ulikuwa tu na bahati mbaya. Yard zingine ndogondogo zinachukulia magari pale na kuzipeleka kwenye yard zao.hilo nimelishuhudia kabisa.Nunua kote lakini usinunue ile sehemu inaitwa sijui Jan sijui kitu gani pale Mbuyuni/Ada Estate...
Utajikuta unanua gari ina mapungufu kibao, pale kuna waswahili vishoka huwa wanachomoa spare nzima kwenye gari ili wauze juu kwa juu, wanapachika mbovu...
Unanunua gari inatembea fresh lakini baada ya muda unaanza kukutana na vipengele...
Mbona ile ndo yard kubwa kwa dar mzee,labda ulikuwa tu na bahati mbaya. Yard zingine ndogondogo zinachukulia magari pale na kuzipeleka kwenye yard zao.hilo nimelishuhudia kabisa.
Binafsi nimeshangaa pia....Ndiyo mtu wa kwanza namsikia..Mbona ile ndo yard kubwa kwa dar mzee,labda ulikuwa tu na bahati mbaya. Yard zingine ndogondogo zinachukulia magari pale na kuzipeleka kwenye yard zao.hilo nimelishuhudia kabisa.
Ile security iliyoko pale Jan sidhani kama wanaweza kufanya hivyo...Jamaa zangu kadhaa wameuziwa spare na vishoka wa pale, zinatolewa parts ambazo ni rahisi kuona tatizo kwa wakati huo...
Labda ningesemaje dadangu, kiingereza Ni lugha yangu ya tatu baada ya kihehe na kiswahili.I am forgetting the name🤣
Hicho kizungu jamani tutaishia kupata aibu
Ile security iliyoko pale Jan sidhani kama wanaweza kufanya hivyo...
Hao wanaouziwa parts pengine wanadanganywa kuwa zinatoja Jan kumbe siyo..
Pale Jan ukitaka kuchukua gari na limekuja na hiyo changamoto wanakuambia kabisa..