Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
USTIN MORRIS A-40
-Gari aina ya- Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 1950. Ni gari la kwanza kutumiwa na Baba wa Taifa na Rais wa kwanza Tanzania hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mwalimu Nyerere alilitumia gari hilo toka mwaka 1955 1960 katika shughuli mbalimbali za kuendeleza chama cha TANU likiendeshwa na dereva wake maarufu kwa jina la SAID TANU. Baadaye Mwalimu Nyerere alilikabidhi gari hilo kwa vijana wa TANU kwa kazi za chama kabla ya kupelekwa Makumbusho ya taifa na kuwa sehemu ya Historia ya Tanzania.
-Gari aina ya- Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 1950. Ni gari la kwanza kutumiwa na Baba wa Taifa na Rais wa kwanza Tanzania hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mwalimu Nyerere alilitumia gari hilo toka mwaka 1955 1960 katika shughuli mbalimbali za kuendeleza chama cha TANU likiendeshwa na dereva wake maarufu kwa jina la SAID TANU. Baadaye Mwalimu Nyerere alilikabidhi gari hilo kwa vijana wa TANU kwa kazi za chama kabla ya kupelekwa Makumbusho ya taifa na kuwa sehemu ya Historia ya Tanzania.