GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Kuamulia Ngumi baina ya Mwanaume kwa Mwanaume kwani upo uwezekano Ngumi zao zote zikaishia Usoni Kwako na Kuumuka.
2. Kupatanisha Mgogoro wa Kimapenzi wa ama Wapenzi au Wanandoa kwani wakiwa Uchi wa Mnyama Kitandani wanakukandia tu.
3. Kujiandaa Kikamilifu kabisa Kufanya Mapenzi na Mwanamke ambaye hukumuandaa matokeo yake haji na unaishia tu Kupiga Nyeto.
4. Kumshadadia Mgombea fulani wa Urais na Chama chake huku Wewe ukiwa unamuamini kabisa wakati Watanzania hawamuamini.
5. Kumshangilia kabisa na kwa Moyo Mmoja Mchezaji Mbwana Samatta ukidhani ataendelea Kubakia UK kumbe anaenda Uturuki.
6. Kumuwahia Demu Siti katika DalaDala za Mbagala - Stesheni zinazosumbua ili Umtongoze na Ukimtongoza anaishia Kukusonya.
7. Kwenda Kusali kwa Mtumishi fulani hivi Maarufu nchini kwa sasa na Kununua Maji yake kwa Tsh 1,500/ wakati Yeye kapewa bure.
Na Wewe pia unaweza ukatirirka na kuserereka na yako tafadhali.
2. Kupatanisha Mgogoro wa Kimapenzi wa ama Wapenzi au Wanandoa kwani wakiwa Uchi wa Mnyama Kitandani wanakukandia tu.
3. Kujiandaa Kikamilifu kabisa Kufanya Mapenzi na Mwanamke ambaye hukumuandaa matokeo yake haji na unaishia tu Kupiga Nyeto.
4. Kumshadadia Mgombea fulani wa Urais na Chama chake huku Wewe ukiwa unamuamini kabisa wakati Watanzania hawamuamini.
5. Kumshangilia kabisa na kwa Moyo Mmoja Mchezaji Mbwana Samatta ukidhani ataendelea Kubakia UK kumbe anaenda Uturuki.
6. Kumuwahia Demu Siti katika DalaDala za Mbagala - Stesheni zinazosumbua ili Umtongoze na Ukimtongoza anaishia Kukusonya.
7. Kwenda Kusali kwa Mtumishi fulani hivi Maarufu nchini kwa sasa na Kununua Maji yake kwa Tsh 1,500/ wakati Yeye kapewa bure.
Na Wewe pia unaweza ukatirirka na kuserereka na yako tafadhali.