Yah Kukosoa: huyu demu Wa Zezeta ya Rayvanny ni mshamba, hajaweza kuvaa uhusika

Nibozali

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
572
Reaction score
1,055
Huyu demu a lite shirk kishka na Rayvanny kwenye wimbo Wa Zezeta ni mshambamshamba kiasi kwamba ameshindwa kuuvaa uhusika na hivyo kusababisha wimbo mzima kuonekana Wa ovyo kabisa.

Kama kuna uwezekano huyu jamaa angerudia hii video lakini kwa hii ya sasa atapata wafuasi km kiduchu sana. Bila shaka ujumbe umefika

Nawasilisha
 
Mbona na wewe avatar yako ya kishamba pia. Ukimsonta mwenzio kumbuka vidole vinavyobakia vinakusonta mwenyewe
 

This comment may go
unnoticed, but sometimes I fill my
bath with tomato sauce and pretend to be a meatball.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] multiple ID
Asante kwa kunichana, Mimi huwa napenda kuambiwa ukweli na kusema ukweli pia ndio maana nimeamua kusema ukweli
 
Ujumbe umefika kuwa Acha kudis kila siku..siku nyingine wapongeze halafu sio lazima wewe umpende, jamaa ana fan base ya kutosha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…