YAH: Nyumbu - Mheshimiwa Pinda, huu sasa utani!

mi nikisikia Pinda anaongea napata kichefuchefu kabisa..sijui alitoka wapi mpaka kuwa waziri mkuu..he is useless,he knows nothing ,absolutely nothing zaidi ya kuropoka ropoka tu
 
mi nikisikia Pinda anaongea napata kichefuchefu kabisa..sijui alitoka wapi mpaka kuwa waziri mkuu..he is useless,he knows nothing ,absolutely nothing zaidi ya kuropoka ropoka tu

grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr.................
 
unajua kuna wakati mimi hua najishika mdomo ninapomsikiliza Mh PINDA , mtoto wa mkulima anapokua anatoa mahubiri yake ya kisiasa, naamini nafasi aliyonayo imemzidi uwezo, anapapara na mambo, muoga wa maamuzi mazito, au labda anakwepa lawama, msikilizeni kwa makini, mara nyingi anaongea kama mtu wa kawaida kwenye maswala mazito yanayohitaji kauli yake thabiti kama kiongozi wa juu wa KISERIKALI,
leo asubuhi nimessikia ktk kipindi cha magazeti cha radio free Afrika, kua sheria ya manunuzi imejaa matatizo, nani chanzo cha matatizo yote ktk sekta ya manunuzi, sasa waziri mkuu anamlalamikia raia wakawaida kua sheria hiyo ni mbovu ? sasa raia huyo afanyaje ? anapaswa amwagize waziri wake anaehusika aandae Muswada wa mabadiliko ya sheria hiyo....kumbuka issue za Kingunge na waraka alivyojibu..haonyeshi kama ni sehemu ya mamlaka. Kumbuka alivyolia wakati alipobanwa ktk swala la ALBINO, Kumbuka anavyoyumba katika swala la Meremeta.....na hili la Richmond ndo kabisa linamshinda.
UWAZIRI MKUU, ni mamlaka na si mambo yanayohitaji mtu lege lege...
Swala la nyumbu na matrekta ni aina ya porojo nyingine za kilimo kwanza, ni uhuni wa kisiasa.
__________________
Mwanataaluma hutarajia kukosolewa pindi anapokosea, Daima hategemei kusifiwa pale anapotimiza wajibu!
 
Pinda nae haya we....ngoja tuone hizo support fund atatoa wapi...
 
kibaya zaidi anasema wamepata mkopo kutoka serikali ya India, Hizo hela za meremeta/buhemba zilienda wapi na kwa nini hawatoi maelezo? Na wewe Pinda, usitufanye sisi ni watoto wadogo bwana tunajua.

Mlisema nia ya Buhemba mpaka mkahamisha kambi ya jeshi ni kuipatia fedha nyumbu, sasa ile hela iko wapi?? Nakuuliza wewe Pinda, Umesoma riport ya meremeta aliyoitoa Mwanakijiji?

Kama umeisoma tueleze pesa za Buhemba zilifanya nini au ndo mmegawana na Mboma??
 
Last edited:

Ndugu yangu Mwanakijiji, fedha za EPA walipeleka hewa TIB ni kwamba hiyo hela ilikwisha liwa kwa hiyo ili kuwazuga waTZ mkulu akasema anapeleka pesa TIB lakini nakuhakikishia ukiauliza baadhi ya staff TIB wanakwambia hakuna kilicholetwa ila ni siasa tu.
 

Hapo naona umeenda mbali. Pinda ni mtu na anastahili kutendewa kama mtu mwingine yeyote hata kama anafanya madudu. Hata mataahira hawawezi kufurahi kuitwa hivyo. Watafurahi ukiwambia kuwa wao ni good boys/girls vinginevyo unaamua kutowambia kitu. Sikubaliani na madudu ya serikali ila sipendi kutukana watu (personalities).
 

Samahani, ni hasira tu lakini nime-edit na kuondoa kasoro hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…