Nauli tu inakushinda mkuu,vipi utaweza ku-accomodate wakuu wa jf bure kwenye harusi yako ?Husika na kichwa cha habari hapo juu
Nimepata mchumba kutoka South Africa ila ndugu yenu nauli ya kumtumia sina kumleta huku kwetu sina jamani watanzania wenzangu najua ss ni kitu kimoja msaada wenu no muhimu sana ili niweze kufanikisha ndoa yangu wote mtapewa kadi za harusi bure!
Natumaini ombi langu litashughulikiwa.
Wenu katika kulijenga taifa
JITUKUU
Husika na kichwa cha habari hapo juu
Nimepata mchumba kutoka South Africa ila ndugu yenu nauli ya kumtumia sina kumleta huku kwetu sina jamani watanzania wenzangu najua ss ni kitu kimoja msaada wenu no muhimu sana ili niweze kufanikisha ndoa yangu wote mtapewa kadi za harusi bure!
Natumaini ombi langu litashughulikiwa.
Wenu katika kulijenga taifa
JITUKUU
Asante naona hii yako imefungua njia na imani hata mchango utanifanyia hivi utafungua njia kwa wengineMasaa 6 yamepita hata comment ya uchuro hamna?
Mimi naanza, nikichanga na mimi nitapata japo siku nitoke nae out?
Sent using Jamii Forums mobile app