Unamzungumzia Kamala au 😂Kwani ni yeye tyuu? Mbona yule akiyekua RC na sasa kapelekwa kwenye jumuia ya chama, kampangia msenge apartment hapo sala sala.
Tatizo LA huyu jamaa ni kukurupukia wasiohusika, au laah walishindwana bei, woiiiiih
Huko CCM kunanuka mavi kabisa watu wamechanganyikiwa na vinyeo tuUnamzungumzia Kamala au 😂
Amekwenda kindezi ngoja apopoleweNinachoshangaa mlivyomshupalia mwenzenu as if nyie hamfanyi, yaani mmevaa miwani mweusi wote mnamtupia mawe.
Yule mwenye mashavu kama paka wa barUnamzungumzia Kamala au 😂
Kipimo cha kwanza cha akili ni kuitambua tofauti. Sio kila jambo lazima tuambiwe cha kufanya mfano; kanisani mara nyingi hakuna anayekuamulia nguo ya kuvaa ili uingie kanisani lakini itakuwa ni ajabu ukivaa nguo ya disco ukaingia nayo kanisani.Hivi nani anaweka mipaka ya kuelekeza kwamba mambo ya dini au uchumi au utamaduni yana mahali pake tofauti pa kuongea? kana kwamba hayahusiani...lakini yote yanamhusu binadamu na ilivyo, jambo la dini au itikadi ya siasa linaweza kuwa linaathiri kwa kiwango kikubwa matokeo ya mambo mengine..huoni huo ukweli? kwa maana yako mambo ya dini ni msikitini na kanisani basi! siasa sijui ni wapi, uchumi sijui wapi..ndio una maana hiyo..? uko wapi huo muda wa kuongea mambo kwa tofauti hivyo...tumepewa akili, pima, husianisha, linganisha kisha amua! unaogopa fujo..what do you loose?
Mfano mwanamke kama huyu anataka nini naye si Ana hamaaisha mambo fulani naye kuliwa 😄HIvi janamke la chuo linaanze kulawitiwa bila idhini yake?? Hapa nionacho ni hakupewa walichokubaliana...
Anataka kupelekewa moto tuu hana lingine
Mkuu naomba nikumbushe kashifa ya Kenani.Tushazoea hizo sarakasi za Lumumba.
Gekul yuko mtaani.
Sabaya yuko mtaani.
Makonda yuko mtaani
Kenan Kihongosi yuko mtaani.
Majizi, wauwaji, vibaka ni sehemu ya CCM huo ni upepo tu utavuma na mwisho wa siku utasikia DPP hana nia ya kuendelea na kesi maana hakuna ushahidi wa kutosha kumtia mshtakiwa hatiani.
Sio tofauti unayoongea..huwezi kutenganisha matendo ya binadamu, anavyoishi, anavyokula, nk na imani na malezi yake kwa pamoja, imani ni dini..km huelewi uhusiano uliopo kwa mambo haya..ts very unfortunate can't tell more bt don't be a slave of your own misunderstanding!Kipimo cha kwanza cha akili ni kuitambua tofauti. Sio kila jambo lazima tuambiwe cha kufanya mfano; kanisani mara nyingi hakuna anayekuamulia nguo ya kuvaa ili uingie kanisani lakini itakuwa ni ajabu ukivaa nguo ya disco ukaingia nayo kanisani.
In every reaction lazima iendane na situation ndio maana “ abnormal reaction in abnormal situation is normal behavior“ kinyume chake ni abnormal.
Ndugu mwanasheria nenda mahakamani kamtetee huyo RC ili ashinde.Kwa nini hakukataa wakati tendo linafanyika? Hilo eneo hapakuwa na Walinzi au Watu ili apige kelele? Kuna jambo halipo sawa katika hii Kesi.
Kuna wakati bahati mbaya hutokea kulingana na mkao wakati wa tendo na hali ya Wafanya tendo, ukute wote walikuwa wamelewa au kutokana na mkao ikatelezea huko..
Wanaume wengi tumefanya hili kosa iwe kwa kukusudia au bahati mbaya, lakini endapo Mhusika aliyefanyiwa atalalamika ni dhahiri kuna. kuomba msamaha na hata usiposamehewa adhabu huwa ni kuachwa na si kama alichofanya huyu Mwanafunzi..
Inawezekana huyu Mwanafunzi ni wale ambao hutumia miili yao kama Biashara na akataka alipwe pesa nyingi kutokana na tendo hilo, mzaha wa Mtuhumiwa ndiyo imefanya haya mambo yafike hapa, kulikuwa na namna nyingi sana za kuzima hiyo kashfa hata kabla haijavuja, saa hizi wote wanajuta..
MmmSiwezi sema lolote kwakuwa sio Mimi boss niliyeliwa
Alaf huyu RC mbona kama ameunganishwa na grid ya taifa?
Mnyororo ambao hauna thamani umetengenezwa na wanaopewa dhamana, ambao huahirisha kufikiri Kwa nafsiHuyu aliondolewa uDC kipindi cha Magufuli, alirudishwaje? anasifa gani pekee ambazo wengine hawana..lakini tatizo siyo kina nawanda tatizo liko kwa mteuzi na watu wake..jinai kama hizi ni hulka ya mtu, wnapitaje vetting watu wa aina hii km sio connection, hapo ikulu kuna connection za kihalifu, mtu km Hamsini yule DED Arusha, aliondolewa baada ya kutoka serengeti..nani alimrudisha, na kwa sifa zipi? binafsi sijawahi kuwaamini waislam hii ni kutokana na wengi wao kuwa na tatizo kwenye malezi, na imani yao indirectly inafundisha au inatetea mambo mabaya kwa wengine hata kama kwao kiimani ni mazuri.. ukatili, unafiki, ubinafsi, chuki kwa watu wengine, ushirikina, kisasi, kutojali, wanapenda fujo nk na wengi bila kujua hata km ni wa imani zingine wanabehave km waislam..waislamu wengi hawana uwezo na sifa kuwa viongozi, angalia nchi km sudani..wao kwa wao wanamalizana, somalia, chad nk na wako wengi sana kina nawanda kwenye uongozi..wao uongozi ni sifa na kula, si kutumikia watu! chunguza vzr utaona ninachosema..
Huyu alicharaza watu bakora kwa madai wameiba viti ilhali vyombo vya dola na vya kisheria vyenye wajibu wa kushughulika na watuhumiwa wa uhalifu ndio vilitakiwa kudeal na hii issue sasa yeye alichokifanya ni kujichukulia sheria mkononi kuwacharaza hawa watu viboko kitu ambacho ni kinyume na sheria.Mkuu naomba nikumbushe kashifa ya Kenani.
Huyu alicharaza watu bakora kwa madai wameiba viti ilhali vyombo vya dola na vya kisheria vyenye wajibu wa kushughulika na watuhumiwa wa uhalifu ndio vilitakiwa kudeal na hii issue sasa yeye alichokifanya ni kujichukulia sheria mkononi kuwacharaza hawa watu viboko kitu ambacho ni kinyume na sheria.View attachment 3017477Mkuu naomba nikumbushe kashifa ya Kenani.
Kuna wakati Wanawake wanatumika vibaya kuumiza Watu wengine, hili jambo lililofanyika siyo geni kwenye Jamii yetu, ingekuwa Mlalamikaji alibakwa sawa, lakini ni Mtu na Mpenzi wake, inawezekana haikuwa mara ya kwanza kwa hicho kilichofanyika.Ndugu mwanasheria nenda mahakamani kamtetee huyo RC ili ashinde.
Hawa waheshimiwa wakishapitisha bajeti hata tukiijadili vipi huwa hakuna kinachobadilika kabisa. Tutapigwa porojo na mambo yanaisha, mwisho wanatekeleza kwa <70%. Ngoja tupige umbeya wa Yahaya tuNa unaweza kukuta bajeti isijadaliwe kabisa kulingana na mwenendo wa heka heka za RC Yahaya utakavyokuwa
Siasa za Bongo ni za kimkakati sana 🐼
Mlale unono 😄