ndugu wanajamii,habarini.
Naomba mtu yoyote ambaye anaweza kunipatia tenda ya kusambazakuku wa kienyeji kwenye hotel au mgahawa anijulishe.nimemaliza chuo mwaka wa pili sasa sina kazi ya kuaminika na maisha yanaendelea kuwa magumu wana jamii wenzangu.naomba msaada sana napatikana dar'salaam.aliyetayari kunisaidia au hata kunipa means ya kufanikisha hili naomba tuwasiliane kupitia namba hizi 0655222214 na 0788532827.asante