Habari wakuu,
Kuna uvumbuzi mmoja wa bag la wanafunzi shuleni, bag hilo lina features tofauti kabisa na mabag yaliyopo. Bag hizo zinauzwa Marekani, nimejaribu kugoogle hiyo kampuni nimeona kwenye website kubwa kama bbc na cnn kuwa bag zao hizo zina ''patent right''
Hivyo naomba kuuliza, kama bidhaa ina patent right nchini marekani. Je, mimi niliyopo Tanzania nikitengeneza bidhaa kama hiyo hiyo naweza kushtakiwa?
asanteni