Yahusu ugumu wa maisha

PastorA

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
361
Reaction score
275
Uzi huu mfupi tu lakini naomba tuutafakari sana. Nini future ya maisha yetu sisi Vijana kwa ugumu huu wa maisha na kukosa kazi huku? Maisha yamekuwa magumu sana jamani kama vijana nini tufanye?
 
Uzi huu mfupi tuu lakini naomba tuutafakari sana. Nini future ya maisha yetu sisi Vijana kwa ugumu huu wa maisha na kukosa kazi huku?maisha yamekuwa magumu sana jamani kama vijana nini tufanye?
Mama mmoja juzi alitukuta mimi na rafiki yangu nje ya gate la kazini kwetu usiku majira ya saa mbili hivi, kwakuwa tunafahamiana kidogo tukaanza vistory.

Katika story za hapa na pale mama akasema vijana nawaonea huruma sana. Hamtajenga sasa hali ya maisha sasa imekuwa ngumu tofauti na miaka kumi iliyopita ambapo sisi tulijenga.

Mimi binafsi nina nyumba na gari ya kutembelea na bodaboda 2 za biashara . Ila kwa hakika nimevipata kwa ugumu sana
Maisha magumu sana.
 
Uzi huu mfupi tu lakini naomba tuutafakari sana. Nini future ya maisha yetu sisi Vijana kwa ugumu huu wa maisha na kukosa kazi huku? Maisha yamekuwa magumu sana jamani kama vijana nini tufanye?

Mapambano yaendelee ndio kinachotakiwa kufanyika

Fanya kazi yoyote unayoona ni halali
Kuacha kutegemea vyeti(kuajiriwa) badala yake kuanza kufikiria kujiajiri
 
Mapambano yaendelee ndio kinachotakiwa kufanyika

Fanya kazi yoyote unayoona ni halali
Kuacha kutegemea vyeti(kuajiriwa) badala yake kuanza kufikiria kujiajiri
Sasa dea unajiajiri vipi huna mtaji? Haya ukisema uchangamkie fursa adhimu nako kugumu hatari mmmmmh. Jah asaidie tyuuh hali ni mbaya kwa kweli.
 
Jah awe nasi tyuuih, hakuna namna tena, ila tupambane bila kuchoka.
 
Jibu litakuja automatic siku makundi ya kigaidi yakitia mzizi Tanzania
 
Sasa dea unajiajiri vipi huna mtaji? Haya ukisema uchangamkie fursa adhimu nako kugumu hatari mmmmmh. Jah asaidie tyuuh hali ni mbaya kwa kweli.

Kama huna mtaji tafuta means za kuupata
 
Kwenye kutafuta kuupata mtaji ndo mziki wenyewe sasa.

1.Unatafuta sehemu mnayoaminiana unakopa

2.Fanya hata kazi ndogo ndogo yoyote utakayopata,wewe mwanaume hutakiwi kuchagua kazi
 
1.Unatafuta sehemu mnayoaminiana unakopa

2.Fanya hata kazi ndogo ndogo yoyote utakayopata,wewe mwanaume hutakiwi kuchagua kazi
Hahahaha saivi hata mikpo hakuna, huko vicoba na saccos ni majanga tupu, wee dea acha tyuuih nje ya system hakuna maisha.
 
Uzi huu mfupi tu lakini naomba tuutafakari sana. Nini future ya maisha yetu sisi Vijana kwa ugumu huu wa maisha na kukosa kazi huku? Maisha yamekuwa magumu sana jamani kama vijana nini tufanye?
Huu ndo wakati wa kubadili mitazamo kimawazo na kukuna ubongo haswa!.. naamini jahazi haliwezi angamia Kama vichwa vyetu tutaviweka sawasawa hapo ndo utakuwa msingi..

Tatizo si ajira tu wapo vijana wenzetu wenye ajira za kueleweka lkn hawana matumizi ya fedha zao!.. hii itaendelea kuwa tatizo kama hatuto badili tabia na mitazamo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…