Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,837
MSHAMBULIAJI chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Yahya Zayed anayechezea klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam ameomdoka jana mjini Dar es Salaam kwenda Misiri kujiunga na klabu ya Ismailia ya huko.
Zayed mwenye umri wa miaka 20 aliondoka kwa ndege ya shirika la Ethiopia moja kwa moja kwenda Cairo ambako imeelezwa akifika atasaini mkataba wa miaka mitatu.
Na hiyo ni baada ya Ismailia, moja ya klabu kongwe nchini Misri kumalizana na Azam FC juu ya mchezaji ambaye alikuwa amebakiza mkataba wa miaka miwili.
Akisaini mkataba huo, Zayed atakuwa mchezaji wa pili wa Tanzania katika Ligi Kuu ya Misri, baada ya kiungo Himid Mao anayechezea Petrojet ambaye pia ni mchezaji wa zamani wa Azam FC.
Zayed mwenye umri wa miaka 20 aliondoka kwa ndege ya shirika la Ethiopia moja kwa moja kwenda Cairo ambako imeelezwa akifika atasaini mkataba wa miaka mitatu.
Na hiyo ni baada ya Ismailia, moja ya klabu kongwe nchini Misri kumalizana na Azam FC juu ya mchezaji ambaye alikuwa amebakiza mkataba wa miaka miwili.
Akisaini mkataba huo, Zayed atakuwa mchezaji wa pili wa Tanzania katika Ligi Kuu ya Misri, baada ya kiungo Himid Mao anayechezea Petrojet ambaye pia ni mchezaji wa zamani wa Azam FC.