Yai la kuchemsha au kukaanga lipi chaguo lako namba moja?

Yai la kuchemsha au kukaanga lipi chaguo lako namba moja?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Screenshot_20240602-194419.png
 
Mimi napenda la kukaanga kama kwenye picha hapo cow's eye egg alafu nanyunyizia kachumvi na black pepper after doing that the whole world is mine🤗
 
Tamu ni yai la kukaaanga lakin kiafya wanasema yai la kuchemsha ndio zuri zaidi.
 
Mimi na mtoto wangu tunapenda sanaa mayai ya kukaanga.Tena usiweke mbwembwe we kaanga tu na chumvi kidoogo basi .Sio uniwekee mavitunguu yako na makorokoro mengine sili.La kuchemsha lina harufu kama kijambo sitaki hata kuliona.
 
Back
Top Bottom