Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Humu kusema kweli wazee wamo wengi sio me au ke sema me wanawasema ke sana kuwa wao niwazee.
Basi bhana mie nafurahigi kuona vizee vinapigiania vizee vyenzao 😄😅😅😅 halafu wale wadada wanaokaribia age kubwa nao wanapiganiwa na hvyoo vizee yaai full maonyesho I am happy kuwa mnafarijiana ila wote ni wazee .
Nimewastadi wanaume wengi humu na wanawake ni watu wazima ila wengi ni walichezea ujana kukataa wanawake wanaowapenda kisa kupenda chura , miguu ya bia, na kitu cheupe sijui hiki au kile aisee .
Halafu wanadai sisi ndio wazee ai hata nyie mlichelewa halafu sai huna nguvu za kiume halafu ile zana kiuno imekazaa huwezi perform kwa mtu .
Mtu Akitaka biashara humu aje na biashara ya dawa ya nguvu za kiume na kulainisha viuno atapiga hela ndefu .
Ujumbe wa leo ni kwa wanaume humu mmezeeka acheni kujiona nyie ni watoto kama hujaoa oa utulie bro maisha yatakupiga chini utaishilia kuwahonga wanawake kwakua walikuja tu sio unaweza kuperfom .
Tusichekane hebu tusaidiane nakusitiriana humu watu wazee sana tu wanadai wanawake ni mashangazi nyie hata sio wajomba ni vibabu so tulieni.
Mtu anasura imekomaa hata ukimpiga kofi unaumia eti anamuita mtu malaya nawewe kwa kujiamini na huna mke wala mwanamke wakudumu shame on you.
Regards, kwa wanaume ambao wamezeeka na wanasumbua humu tulieni kama upo chuo wakati remmy ongala ni super star kama diamond saivi kaa kwa kutulia .
Wanaigeria wanasema shoot up . Rubbish see this thing .
Basi bhana mie nafurahigi kuona vizee vinapigiania vizee vyenzao 😄😅😅😅 halafu wale wadada wanaokaribia age kubwa nao wanapiganiwa na hvyoo vizee yaai full maonyesho I am happy kuwa mnafarijiana ila wote ni wazee .
Nimewastadi wanaume wengi humu na wanawake ni watu wazima ila wengi ni walichezea ujana kukataa wanawake wanaowapenda kisa kupenda chura , miguu ya bia, na kitu cheupe sijui hiki au kile aisee .
Halafu wanadai sisi ndio wazee ai hata nyie mlichelewa halafu sai huna nguvu za kiume halafu ile zana kiuno imekazaa huwezi perform kwa mtu .
Mtu Akitaka biashara humu aje na biashara ya dawa ya nguvu za kiume na kulainisha viuno atapiga hela ndefu .
Ujumbe wa leo ni kwa wanaume humu mmezeeka acheni kujiona nyie ni watoto kama hujaoa oa utulie bro maisha yatakupiga chini utaishilia kuwahonga wanawake kwakua walikuja tu sio unaweza kuperfom .
Tusichekane hebu tusaidiane nakusitiriana humu watu wazee sana tu wanadai wanawake ni mashangazi nyie hata sio wajomba ni vibabu so tulieni.
Mtu anasura imekomaa hata ukimpiga kofi unaumia eti anamuita mtu malaya nawewe kwa kujiamini na huna mke wala mwanamke wakudumu shame on you.
Regards, kwa wanaume ambao wamezeeka na wanasumbua humu tulieni kama upo chuo wakati remmy ongala ni super star kama diamond saivi kaa kwa kutulia .
Wanaigeria wanasema shoot up . Rubbish see this thing .