πππMi sikupendi
Mimi huwa nashangaa watu wanaotoa majibu ya ovyo, sijui huwa wanajionaje.Ila ni ukweli..humu usitukane hovyo hovyo kuna watu wa heshima..yani wazee kabisa..
Hata mm mmojawapo kuna muda navurugwa ila nimeacha kuna incidence ilitokea nikasema sio kila mtu wa kumtolea maneno machafu...maana duu..Mimi huwa nashangaa watu wanaotoa majibu ya ovyo, sijui huwa wanajionaje.
Hapo tunaita βpoint of maturity β, hupaswi kumjibu mtu vibaya jamani. Kama humu hatufahamiani, umeanzisha uzi tu matusi hayo yanafuata, kejeli yaani ilimradi tu wakukosoe. Mimi naona njia sahihi ni kueleweshana tu sio kutukunana.Hata mm mmojawapo kuna muda navurugwa ila nimeacha kuna incidence ilitokea nikasema sio kila mtu wa kumtolea maneno machafu...maana duu..
Sure dear...sema vichwa vimetofautianaHapo tunaita βpoint of maturity β, hupaswi kumjibu mtu vibaya jamani. Kama humu hatufahamiani, umeanzisha uzi tu matusi hayo yanafuata, kejeli yaani ilimradi tu wakukosoe. Mimi naona njia sahihi ni kueleweshana tu sio kutukunana.
KabisaSure dear...sema vichwa vimetofautiana
πππππππSingo maza yamemkuta yapi tena
π π π€£π€£π π π π€£Dah[emoji23][emoji23][emoji23] mipasho ya moto kweli kweli[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu kuna vijana ambao bado wako immaturity na wengine wanatokea kwenye malezi mabovu.Hapo tunaita βpoint of maturity β, hupaswi kumjibu mtu vibaya jamani. Kama humu hatufahamiani, umeanzisha uzi tu matusi hayo yanafuata, kejeli yaani ilimradi tu wakukosoe. Mimi naona njia sahihi ni kueleweshana tu sio kutukunana.
"""wengine wanatokea kwenye malezi mabovu.""""πππππ€π€π€Humu kuna vijana ambao bado wako immaturity na wengine wanatokea kwenye malezi mabovu.
Hii ndiyo sababu, ishu ya mtu kuwa mzee sio mbaya ni muda wake umefika.
Hakuna π€Unique Flower umenichekesha kweli, sijui vilainisha viuno kwa wanawake vipo?ππ
Washazoea michambo, kejeli na matusi sio watu wenye staha, sasa mtoto kalelewa manzese au tandika unategemea awe na adabu na heshima."""wengine wanatokea kwenye malezi mabovu.""""πππππ€π€π€
Wapoje hao..?
π€π€π€π€ Daah vijana wa hovyo...Washazoea michambo, kejeli na matusi sio watu wenye staha, sasa mtoto kalelewa manzese au tandika unategemea awe na adabu na heshima.