yajue madhaa ya dawa inayokwenda kufanyiwa majaribio!

yajue madhaa ya dawa inayokwenda kufanyiwa majaribio!

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
16,879
Reaction score
31,253
wadau kama mlivyosikia kuwa serikali imepata kibali kutoka NIMRI kufanya majaribio ya dawa ya kuzuia maambukizi ya UKIMWI,wakiwa na mpango wakuanza na mikoa 14 ikiwemo mkoa wa mbeya huku wakilenga makuundi maalum kama wadada wanao jiuza,wanashiriki mapenzi ya jinsia moja na watumiaji wa madawa ya kulevya.
katika maelezo yake Naibu Waziri Wizara ya afya amesema dawa hiyo inaitwa TRUVADA,nilipata na shauku ya kufanya mlinganisho nini kitakuwa kati ya faida na madhara ya hizi dawa hivyo nikaenda kwenye website yao wenyewe kujua madhara hayo.

TRUVADA (emtricitabine 200 mg and tenofovir disoproxil fumarate 300 mg) is a prescription medicine used with other HIV-1 medicines to treat HIV-1 infection in people who weigh at least 35 kg (77 pounds).

What are the other possible side effects of TRUVADA?
Serious side effects of TRUVADA may also include:

  • Kidney problems, including kidney failure. Your healthcare provider may do blood tests to check your kidneys before and during treatment with TRUVADA. If you develop kidney problems, your healthcare provider may tell you to stop taking TRUVADA.
  • Too much lactic acid in your blood (lactic acidosis), which is a serious but rare medical emergency that can lead to death. Tell your healthcare provider right away if you get these symptoms: weakness or being more tired than usual, unusual muscle pain, being short of breath or fast breathing, stomach pain with nausea and vomiting, cold or blue hands and feet, feel dizzy or lightheaded, or a fast or abnormal heartbeat.
  • Severe liver problems, which in rare cases can lead to death. Tell your healthcare provider right away if you get these symptoms: skin or the white part of your eyes turns yellow, dark "tea-colored" urine, light-colored stools, loss of appetite for several days or longer, nausea, or stomach-area pain.
  • Bone problems, including bone pain, softening, or thinning, which may lead to fractures. Your healthcare provider may do tests to check your bones.
  • Changes in your immune system. If you have HIV-1 infection and start taking HIV-1 medicines, your immune system may get stronger and begin to fight infections. This may cause minor symptoms such as fever, but can also lead to serious problems. Tell your healthcare provider if you have any new symptoms after you start taking TRUVADA.
The most common side effects in people taking TRUVADA to treat HIV-1 infection include: diarrhea, nausea, tiredness, headache, dizziness, depression, problems sleeping, abnormal dreams, and rash. Tell your healthcare provider if you have any side effects that bother you or don't go away.
TRUVADA®: Treatment for HIV-1 | Official Website
madhara yanayopatikana katika hizi dawa ni sawa sawa na madhara yanayopatikana kwenye vidonge vinavyotumiwa na watu walio na HIV.inatupasa kuwa makini jamani
 
Kila kitu kina side effects hata misosi tunayokula. Cha muhimu ni je, hiyo vaccination inafanya kazi kweli?

Kama ndio tuendelee kukata viuno
 
Mi nilisoma Wikipedia pia. Lakini kuna mdau alisema madhara ni madogo kulinganisha na faida.
 
TRUVAD ni dawa ambayo ipo hapa nchini siku nyingi na inatumika in combination na dawa zingine za ARV kama nevirapine na efavirenz.

Mpaka leo mtoa huduma ya afya ikatokea kuwa kwa bahati mbaya amejichoma sindano ya mtu mwenye virusi vya ukimwi au nyuzi wakati anamshona mgonjwa mwenye virusi vinavyosababisha ukimwi

au mtu yeyote aliyebakwa au kwa bahati mbaya umetoka na mtu ambaye sio,

Watu hawa hupewa TRUVADA ikiwa na mchanganyiko na EFAVIRENZ ndani ya masaa 72.

shida ya efavirenz humfanya mtu apate hallucinations na nightmare. Na hiki ndicho kilichopelekea hawa jamaa kufanya research kujua iwapo dawa mbili zinaweza kuzuia virusi kukua baada ya mtu kuambukizwa au la within 72hrs.
 
Truvada haina shida as imekuwa ikitumika kwa siku nyingi kama PEP au PrePEP, side effects zipo hata kwa panadol,na ndio maana kuna ARTs,na pia ukionyesha any side effects lazima uende kwa daktari,
For me naona its a huge step through combating the spread of HIV,pia kufikia 90 90 90
 
99% ya hayo madhara ni yale yale ya ARVs limebadilika jina tu kutoka ARVs kwenda TRUVADA.
 
yaaaaaaaa naunga mkono 100%
TRUVAD ni dawa ambayo ipo hapa nchini siku nyingi na inatumika in combination na dawa zingine za ARV kama nevirapine na efavirenz.

Mpaka leo mtoa huduma ya afya ikatokea kuwa kwa bahati mbaya amejichoma sindano ya mtu mwenye virusi vya ukimwi au nyuzi wakati anamshona mgonjwa mwenye virusi vinavyosababisha ukimwi

au mtu yeyote aliyebakwa au kwa bahati mbaya umetoka na mtu ambaye sio,

Watu hawa hupewa TRUVADA ikiwa na mchanganyiko na EFAVIRENZ ndani ya masaa 72.

shida ya efavirenz humfanya mtu apate hallucinations na nightmare. Na hiki ndicho kilichopelekea hawa jamaa kufanya research kujua iwapo dawa mbili zinaweza kuzuia virusi kukua baada ya mtu kuambukizwa au la within 72hrs.
 
Tutayabugia hivyo hivyo na madhara yake, tumechoka kutumia vifuko
 
TRUVAD ni dawa ambayo ipo hapa nchini siku nyingi na inatumika in combination na dawa zingine za ARV kama nevirapine na efavirenz.

Mpaka leo mtoa huduma ya afya ikatokea kuwa kwa bahati mbaya amejichoma sindano ya mtu mwenye virusi vya ukimwi au nyuzi wakati anamshona mgonjwa mwenye virusi vinavyosababisha ukimwi

au mtu yeyote aliyebakwa au kwa bahati mbaya umetoka na mtu ambaye sio,

Watu hawa hupewa TRUVADA ikiwa na mchanganyiko na EFAVIRENZ ndani ya masaa 72.

shida ya efavirenz humfanya mtu apate hallucinations na nightmare. Na hiki ndicho kilichopelekea hawa jamaa kufanya research kujua iwapo dawa mbili zinaweza kuzuia virusi kukua baada ya mtu kuambukizwa au la within 72hrs.
mkuu nijuavyo mie
Truvada haina shida as imekuwa ikitumika kwa siku nyingi kama PEP au PrePEP, side effects zipo hata kwa panadol,na ndio maana kuna ARTs,na pia ukionyesha any side effects lazima uende kwa daktari,
For me naona its a huge step through combating the spread of HIV,pia kufikia 90 90 90
watu wanaokwenda hospital kwa ajili ya PEP au prePEP nao hupewa dawa wanazotumia wagonjwa wa ukimwi tofauti ni kuwa wao hutumia kwa muda wa mwezi 1 tu.madhaa ni makubwa kuliko dawa zingine
 
Back
Top Bottom