Kazi tunayo aiseeee....wao hawanunui mafuta so hawawezi fikiria kama kunanamna ya kuokoa pesa. af ejue huwa wananunua risiti za mafuta wapate ganji kuokoa mafuta kwa watumish wa serikali hilo tusahau kabs
AksanteNi kweli nakubaliana na wewe kwamba kila lenye faida huwa lina hasara zake pia, Kumbuka kuna aina tatu za hybrid cars (Mild hybrid, Full hybrid na plug in hybrid) hapa kila moja ina faida na hasara zake. Mild hybrid huu ni mfumo mbaya wa hybrid kuwahi kutengenezwa kwani hutapata utofauti mkubwa wa fuel consuption ukilinganisha na gari ya kawaida, hivyo kipesa hapa sikushauri kuchukua aina hii ya hybrid. kwani imejaa hasara nyingi kuliko Faida, tuachane na hii tuje hizi aina mbili
Hizi ndio hasara za kumiliki hybrid car (Full hybrid na Plug in hybrid)
1. Zinahitaji matengenezo maalumu ya mfumo wa hybrid.
Yaani utafanya service ya kawaida kama gari ya ICE{internal combustion engine} lakini pia utafanya service ya hybrid system
2. Zinanamna tofauti kidogo ya kuitunza tofauti na gari ya kawaida.
Zinataka usafi, na usipende kufungua vioo eneo lenye vumbi lakutimka, pia kama unaipaki gari kwa mda mrefu inaprocess zake za kufuata ili betry kubwa iwe salama kwani bila kufanya hivyo betry inaweza kufa{inakufa vipi? ni hivi! Betri ya hybrid ni moja ila ndani ina module kadhaa inategemea na aina ya gari na kila module huwa ina range ya voltage za uhai 6.5v-9v kwa module ya 7.2v hivyo ukiiacha betry ika drain sana, module itakayofika 5.9v kushuka chini hiyo inakuwa imefufa moja kwa moja }
3. Zina mtindo tofauti kidogo wa uendeshaji(Kwa dreva) tofauti na gari ya kawaida
Gari za hybrid hazitaki kuibebesha mzigo mzito kuliko uwezo wake yaani usiweke mzigo wa 700kg kama gari yako uwezo wake ni 400kg kwa kwa kufanya hivyo Utaua haraka sana gearbox yake, Pia usivute mzigo mzito kuliko uwezo wake (Towing), Usiwe mtu wa brake kali za ghafla mara kwa mara au mzee wa kuondoka na 120 papo hapo utachoma mfuko wako mapema.
4. Mwisho ni gharama, Hizi gari zinagharama kubwa ukiiharibu betry yake
Hii siihesabu kama hasara maana hizi gari zinaokoa pesa nyingi sana kwenye mafuta
Sasa Tuangalie faida zake
1. Unaokoa pesa ya mafuta kwa kiwango kikubwa sana
Gari nyingi za hybrid zinaenda 20-40km/L Mfn Juzi nimetoka Dar kigamboni mji mwema kwenda mbeya mjiji mwanjelwa na nimetumia 41.51 na nilikuwa na mwendo mkali lakini salama! na mda wa kurudi dar nimetumia 37.4L 21.5km/l na nilibeba watu wa4 wakubwa
View attachment 3190323
2. New driving expirience
Kuna utofauti wa kuendesha gari ya kawaida na hybrid, unapata utulivu wa hali ya juu unaweza fikiri ni Ev, pia unapata smooth acceleration, itoshe kusema driving hybrid car ni kitu cha kila mtu kujaribu ajionee utofauti!
3. Engine service interval ni kubwa kuliko gari ya kawaida
Wastani ni 10000km hadi 15000 bila shida yoyote
4. Sahau kubadilisha brake disk kwa gari yenye chini ya 200k km
Brake disk zinamaisha marefu sana kwasababu mda mwingi unapopiga brake regenerative brake system ndiyo inatumika kusimamisha gari sio brake pads hivyo inachukua mda mrefu sana kuisha
Faida ni nyingi ilaitoshe kusema Faida zooote za hybrid ni kuokoa pesa iwezekanavyo, Na niseme ukweli utaokoa pesa nyingi sana, kama umewahi au unamiliki gari ya kawaida siku upate fulsa ya hutumia hybrid wiki moja mfululizo! mhhhhh nakuahidi hutarudi kwenye gari ya kawaida labda uwe unaendesha gari za michezo na zile tuned cars
Mwisho nimalize na faida za kipekee za Plug in hybrid
* Kumbuka gari hii inabetry kubwa kuliko hybrid hivyo inakaa na chaji mda mrefu zaidi pia gari hii unaweza kuichaji na ikiwa full charge inaenda 60 - 80km na full charge wastani ni Tsh 4000; so kwa trip za mjini wastani wa km 30 kwa siku basi inaweza tumia 4000 kwa siku mbili hadi tatu ambapo kwa kwa gari ya kawaida kwa km60 ni zaidi ya tsh17000
Nadhani hapo unaweza piga hesabu kwa mwaka unaweza kuokoa pesa kiasi gani.
Watanzania tuache kuogopa technologia mpya, Hizi gari za hybrid ilitakiwa ziwe nyingi sana hapa kwetu kwani vipaombele vyetu vya kununua gari ni ulaji mdogo wa mafuta, gharama ndogo za uendeshaji na Durability. Sasa hizi gari zinasifa zote hizo lakini ajabu wengi wanaziogiopa na wengine hawazijui kabisa na sio za leo
Toyota wameanza kuzitengeneza toka 1998 huko nyuma lakini sisi wala hatuzijui kwel? doooooooooo!!!!
Mwisho nitoe elimu kidogo kuhusu ula wa mafuta wa magari
Tumezoea kuona mtu anasema gari yangu haili mafuta yaana toka sinza hadi kariakoo mafuta ya 5000 unaenda na kurudi mhhhh hell No, Hiki sio kipimo sahihi cha ulaji wa mafuta wa gari yoyote ile.
Ulaji wa mafuta unapimwa kwa Km/L yaani kilomita kwa lita. ikimaanisha gari inatembea kilomita ngapi kwa lita moja.
mfn 21.5km/L hii inaanisha gari inatembea kilomita 21.5 kwa lita moja ya mafuta yaani unaweza kwenya km215 kwa lita 10 za mafuta. Tujifunze kuendana na technology hasa upande wa magari bado tuko nyuma sana
2025 Tusiendelee kuishi kwa mazoea tuendelee kubadilika kulingana na nyakati natechnology
Yaaani kama kuku vileKama sijakosea neno HYBRID-- CHOTARA
mafundi tupo, af hybrid system huwa ni ngum sana kupata shida ni mfumo ambao unaweza kudum zaidi ya 300000km bila shida yoyote. kikubwa tu uitunze na ufanye service vzr. soon nitatoa maelekezo ya namna ya kuitunza na kuifanya gari idumu zaidi. Kuhusu mafundi tupo na spea zake ninazo sema tu unataka nini au unashida gani usaidiwe. pia kuhusu betry huwa haifi yote inakufa vipisi kadhaa vya betry ambavyo tunabadilisha na gari inarud mpya.Shida mafundi wetu
Na upatikanaji wa betry/cell za betry
Rav 4 hybrid zipo kuanzia 2016 kuja juu, hapo yoyote utakayoimudu kununua ni fresh 2 ziko poa na kuanzia 2020 zipo hybrid na plug in hybrid so popote mfuko wako utakapofika uko salamaMnashauri RAV 4 ya mwaka gani ambayo ni hybrid
Inabidi mafundi muweke mnapopatikana.mafundi tupo, af hybrid system huwa ni ngum sana kupata shida ni mfumo ambao unaweza kudum zaidi ya 300000km bila shida yoyote. kikubwa tu uitunze na ufanye service vzr. soon nitatoa maelekezo ya namna ya kuitunza na kuifanya gari idumu zaidi. Kuhusu mafundi tupo na spea zake ninazo sema tu unataka nini au unashida gani usaidiwe. pia kuhusu betry huwa haifi yote inakufa vipisi kadhaa vya betry ambavyo tunabadilisha na gari inarud mpya.
Mkuu,Mhhh kununua gari inategemea matumizi na mazingira yako.
hii ni muhim san japo watu wengi hawajui hilo mwisho wa siku mtu ananunua gari isiyomfaa anaanza kulaumu gari sio nzuri.
ili kujua gari gani inakufaa angalia mazingira yako na itakuwa na matumizi gani na bajeti yako inarange wapi hadi wapi then hapo naweza kushauri gari zipi zitakufaa af utafanya chaguzi wewe ipi umeipenda zaid.
Gari zipo nyingi sana ni wewe tu kuchagua
Mkuu tatizo watanzania wengi hawako tayari kuadapt teknolojia mpya tena huku kwenye magari ndo kabisaaaa yani watu wanafata mkumbo, leo kuna watu ukiwaambia kuna gari zinatumia mafuta kidogo kuliko ist hamtaelewana so acha waendelee na maisha waliyozoea ila watafunguka taratibu siku wakijua faida za hybrid cars. kiukweli mi nainjoy sana na honda vezel yangu hybrid. siwazi kabis swala la mafuta maana ni cheap kwel kwelMkuu,
Kwa nini watu wa tax mtandao(Uber na bolt) Bado hadi Leo wanaendelea kutumia gari kama IST,spacio,Rumion naagari yenye engine ndogo ya zamani wakati Kuna hizi hybrid cars kama ToyotaAqua,Honda fit, Prius nk?
Ukiwa barabarani Bado tunaendelea kukutana na hizi IST zenye namba nyeupe kwa ajili ya Biashara badala ya kukutana na hizi gari za kisasa zenye low fuel consumption? Nini inaweza kuwa sababu?
Mi naoma kama alivyochangia mtoa mada, watu either waoga, hawana elimu au wanakaza mafuvu.Mkuu,
Kwa nini watu wa tax mtandao(Uber na bolt) Bado hadi Leo wanaendelea kutumia gari kama IST,spacio,Rumion naagari yenye engine ndogo ya zamani wakati Kuna hizi hybrid cars kama ToyotaAqua,Honda fit, Prius nk?
Ukiwa barabarani Bado tunaendelea kukutana na hizi IST zenye namba nyeupe kwa ajili ya Biashara badala ya kukutana na hizi gari za kisasa zenye low fuel consumption? Nini inaweza kuwa sababu?
Asee!! Inashangaza sana kuona watu wameng'ang'ania IST na vitz wakati Kuna gari nzuri kama Aqua.Mi naoma kama alivyochangia mtoa mada, watu either waoga, hawana elimu au wanakaza mafuvu.
Maana bei ya IST unaweza pata hybrid nzuri tu kama Aqua ikafanya Uber kwa return kubwa zaidi.
Wabongo kwa asili ni waoga wa mabadiliko.Mkuu tatizo watanzania wengi hawako tayari kuadapt teknolojia mpya tena huku kwenye magari ndo kabisaaaa yani watu wanafata mkumbo, leo kuna watu ukiwaambia kuna gari zinatumia mafuta kidogo kuliko ist hamtaelewana so acha waendelee na maisha waliyozoea ila watafunguka taratibu siku wakijua faida za hybrid cars. kiukweli mi nainjoy sana na honda vezel yangu hybrid. siwazi kabis swala la mafuta maana ni cheap kwel kwel
Gari ya 2008 tunaita new model🤣🤣🤣 Ni aibuWabongo kwa asili ni waoga wa mabadiliko.
Huku kwenye gari ndiyo kabisa,ni mwendo wa kufuata mkumbo tu.
Suzuki swift wana matoleo ya hybrid.Mazingira ya ndani ya jiji la Dar es salaam na pia mazingira ya Zanzibar, napendelea sana gari za chini mfano Nissan March, Suzuki swift, Toyota Ist naomba mbadala wa gari hizo kwa upande wa hybrid
Na bei sio ya moto.Suzuki swift wana matoleo ya hybrid.
Naona kwenye uendeshaji wake wa GEARBOX upo kama wa CVT transmission, hauhitaji rafu za uendeshaji.Ni kweli nakubaliana na wewe kwamba kila lenye faida huwa lina hasara zake pia, Kumbuka kuna aina tatu za hybrid cars (Mild hybrid, Full hybrid na plug in hybrid) hapa kila moja ina faida na hasara zake. Mild hybrid huu ni mfumo mbaya wa hybrid kuwahi kutengenezwa kwani hutapata utofauti mkubwa wa fuel consuption ukilinganisha na gari ya kawaida, hivyo kipesa hapa sikushauri kuchukua aina hii ya hybrid. kwani imejaa hasara nyingi kuliko Faida, tuachane na hii tuje hizi aina mbili
Hizi ndio hasara za kumiliki hybrid car (Full hybrid na Plug in hybrid)
1. Zinahitaji matengenezo maalumu ya mfumo wa hybrid.
Yaani utafanya service ya kawaida kama gari ya ICE{internal combustion engine} lakini pia utafanya service ya hybrid system
2. Zinanamna tofauti kidogo ya kuitunza tofauti na gari ya kawaida.
Zinataka usafi, na usipende kufungua vioo eneo lenye vumbi lakutimka, pia kama unaipaki gari kwa mda mrefu inaprocess zake za kufuata ili betry kubwa iwe salama kwani bila kufanya hivyo betry inaweza kufa{inakufa vipi? ni hivi! Betri ya hybrid ni moja ila ndani ina module kadhaa inategemea na aina ya gari na kila module huwa ina range ya voltage za uhai 6.5v-9v kwa module ya 7.2v hivyo ukiiacha betry ika drain sana, module itakayofika 5.9v kushuka chini hiyo inakuwa imefufa moja kwa moja }
3. Zina mtindo tofauti kidogo wa uendeshaji(Kwa dreva) tofauti na gari ya kawaida
Gari za hybrid hazitaki kuibebesha mzigo mzito kuliko uwezo wake yaani usiweke mzigo wa 700kg kama gari yako uwezo wake ni 400kg kwa kwa kufanya hivyo Utaua haraka sana gearbox yake, Pia usivute mzigo mzito kuliko uwezo wake (Towing), Usiwe mtu wa brake kali za ghafla mara kwa mara au mzee wa kuondoka na 120 papo hapo utachoma mfuko wako mapema.
4. Mwisho ni gharama, Hizi gari zinagharama kubwa ukiiharibu betry yake
Hii siihesabu kama hasara maana hizi gari zinaokoa pesa nyingi sana kwenye mafuta
Sasa Tuangalie faida zake
1. Unaokoa pesa ya mafuta kwa kiwango kikubwa sana
Gari nyingi za hybrid zinaenda 20-40km/L Mfn Juzi nimetoka Dar kigamboni mji mwema kwenda mbeya mjiji mwanjelwa na nimetumia 41.51 na nilikuwa na mwendo mkali lakini salama! na mda wa kurudi dar nimetumia 37.4L 21.5km/l na nilibeba watu wa4 wakubwa
View attachment 3190323
2. New driving expirience
Kuna utofauti wa kuendesha gari ya kawaida na hybrid, unapata utulivu wa hali ya juu unaweza fikiri ni Ev, pia unapata smooth acceleration, itoshe kusema driving hybrid car ni kitu cha kila mtu kujaribu ajionee utofauti!
3. Engine service interval ni kubwa kuliko gari ya kawaida
Wastani ni 10000km hadi 15000 bila shida yoyote
4. Sahau kubadilisha brake disk kwa gari yenye chini ya 200k km
Brake disk zinamaisha marefu sana kwasababu mda mwingi unapopiga brake regenerative brake system ndiyo inatumika kusimamisha gari sio brake pads hivyo inachukua mda mrefu sana kuisha
Faida ni nyingi ilaitoshe kusema Faida zooote za hybrid ni kuokoa pesa iwezekanavyo, Na niseme ukweli utaokoa pesa nyingi sana, kama umewahi au unamiliki gari ya kawaida siku upate fulsa ya hutumia hybrid wiki moja mfululizo! mhhhhh nakuahidi hutarudi kwenye gari ya kawaida labda uwe unaendesha gari za michezo na zile tuned cars
Mwisho nimalize na faida za kipekee za Plug in hybrid
* Kumbuka gari hii inabetry kubwa kuliko hybrid hivyo inakaa na chaji mda mrefu zaidi pia gari hii unaweza kuichaji na ikiwa full charge inaenda 60 - 80km na full charge wastani ni Tsh 4000; so kwa trip za mjini wastani wa km 30 kwa siku basi inaweza tumia 4000 kwa siku mbili hadi tatu ambapo kwa kwa gari ya kawaida kwa km60 ni zaidi ya tsh17000
Nadhani hapo unaweza piga hesabu kwa mwaka unaweza kuokoa pesa kiasi gani.
Watanzania tuache kuogopa technologia mpya, Hizi gari za hybrid ilitakiwa ziwe nyingi sana hapa kwetu kwani vipaombele vyetu vya kununua gari ni ulaji mdogo wa mafuta, gharama ndogo za uendeshaji na Durability. Sasa hizi gari zinasifa zote hizo lakini ajabu wengi wanaziogiopa na wengine hawazijui kabisa na sio za leo
Toyota wameanza kuzitengeneza toka 1998 huko nyuma lakini sisi wala hatuzijui kwel? doooooooooo!!!!
Mwisho nitoe elimu kidogo kuhusu ula wa mafuta wa magari
Tumezoea kuona mtu anasema gari yangu haili mafuta yaana toka sinza hadi kariakoo mafuta ya 5000 unaenda na kurudi mhhhh hell No, Hiki sio kipimo sahihi cha ulaji wa mafuta wa gari yoyote ile.
Ulaji wa mafuta unapimwa kwa Km/L yaani kilomita kwa lita. ikimaanisha gari inatembea kilomita ngapi kwa lita moja.
mfn 21.5km/L hii inaanisha gari inatembea kilomita 21.5 kwa lita moja ya mafuta yaani unaweza kwenya km215 kwa lita 10 za mafuta. Tujifunze kuendana na technology hasa upande wa magari bado tuko nyuma sana
2025 Tusiendelee kuishi kwa mazoea tuendelee kubadilika kulingana na nyakati natechno
upande wa gear box zipo Cvt huku inaitwa eCvt ipo na Dct/E-Dct pia ipo AT ya kawaida so uendeshaji utategemea gearbox ipi. mfn ukiwa na dct hii unakanyaga tu mana ndo mamb yake af cvt za hybrid nyingi hazitumii chain so hazizingui kiivoNaona kwenye uendeshaji wake wa GEARBOX upo kama wa CVT transmission, hauhitaji rafu za uendeshaji.