Yajue maisha ya wanafunzi cuba!!!

mtu maskini unaenda cuba kufanya nini kozi yenyewe md hata bongo unaweza kusoma tumechoka kuwaonea huruma watu wanaojitafutia matatizo warudi home.
 
FB iko kweli huko ? siyo kama China wamezifunga? Naomba nijulishe kwa hili silijui..

nna mdau wangu yupo uchina anasoma,tunachat kwa facebook kila siku na kila wakat,,,pamoja na whatsap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…