kweli mkuukweli aiseeeeh!
Ni la ajabu eti..... Kuna JALUO NyeupeMtoto wa nzi
kweli aiseeeiv mnamjua kichwa kikubwa ninyi! hili jina very interesting.
hii nayo kiboko
yaani mpaka naogopa
kipindi cha masika.
Haina Tatizo, ila nimetokea tu kulipenda. Najaribu kutafakari jinsi Robot la Matope linavyo locomote hata sipati picha..Mkuu, kwani kuna tatizo?