Yajue majina ya Kichaga na maana yake

Yajue majina ya Kichaga na maana yake

TSUDUNI

Member
Joined
Oct 6, 2017
Posts
83
Reaction score
145
Mshiki: Dada
Mamkwe: Mtoto wa Pili wa Kike katika Familia
Haikaelly: Asante Mungu - Jina la kiume
Haika: Asante,Jina la kike
Finyaelly: Nguvu za Mungu
Ndekarisho:
Ndekirwa:
Nderingo:
Elikunda: Mungu Kapenda
Kundaelly: Mungu amependa
Siaelly:
Wale wanajua maana waongeze hapa
 
Kichaga hakiandikwi na gg, hivyo ni kichaga na siyo kichagga hilo ni kosa, kwani hakuna neno la kibantu lenye herufi mbili, na hicho mnachokiita kichaga ni kibantu!
 
Kichaga hakiandikwi na gg, hivyo ni kichaga na siyo kichagga hilo ni kosa, kwani hakuna neno la kibantu lenye herufi mbili, na hicho mnachokiita kichaga ni kibantu!
thanks nimekuelewa bosi
 
Mshiki: Dada
Mamkwe: Mtoto wa Pili wa Kike katika Familia
Haikaelly: Asante Mungu ,Jina la kiume
Haika: Asante,Jina la kike
Finyaelly: Nguvu za Mungu
Ndekarisho:
Ndekirwa:
Nderingo:
Elikunda: Mungu Kapenda
Kundaelly: Mungu amependa
Siaelly:
Wale wanajua maana waongeze hapa
Mantiri: mwenye nguvu
 
Majina ya wanawake.

Ikunda = upendo

Anansia = anafuraha

Aikande = asante baba

Anaufoo = ana upole

Aika = asante

Nsia = furaha

Ana = shukuru

Ruyaeli = tafuta hii

Mesia = masihi

Eliasante = asante hii

Ndensia = baba furaha

Aluseta = ametufurahisha

Elieshi = anajua hii

Elisaria = hii ni neema

Eliayo = kwa kuwa yupo

Aimbora = hii baraka

Eliukundi = huu ni upendo

Nkiraningaya = mwokozi sikia

Apaufoo = upole uliopitiliza

Eliuruma/ Elisaria = hii ni huruma/ neema

Eshimendi = anajua mda

Nkakyenyi = mwamke wa nyumbani

Nkamai = wajina wa bibi

Shiwikyansia = niwekee furaha

25.Elikunda = huu upendo

[https://1]

MAJINA YA WANAUME

Saria = neema/same he

Eshiwakwe = anajua wake

Kubwaeli = kumbuka hii

Kundasenyi = penda kwenye nuru

Wangaeli = ita

Elimuhidimi = kwakuwa anatosha

Wangandumi = muite bwana

Werandumi = msubiri bwana

Irrikyaeli = kubali hili/ hii

Isawafoo = chunga wako

Shisalalya = nisimamie

Elingao = hii ni ngao

Kusirie = amini

Onasaa = ona nuru

Aleonasaa = amepata nuru

Shekyandumi = nisaidie bwana

Shekyaeli = nisaidie hii/hiki

Eliapenda = penda hii

Elineema = neema hii

Ndemfoo = bwana ni mpole

Lookenyi = paza sauti

Keshenyi = lalashowi

Lalashowi = keshenyi

Elyiakwani = kwa kuwa wanahusiana

Ndelutarami = bwana tusaidie

Anandumi = shukuru bwana

Anaeli = shukuru hii

Shifoya = nisamehe

Ndenisari = baba ni mwenye nisamehe

Oshoraeli = omba hii

Ringaufoo = chunga upole

Wariaeli = pokea hii

Terewaeli = omba hii

Aranyandumi = msikilize bwana

Shilelandumi = bwana nilee

Endwasen = aletwe nuruni

Furahanaeli = furahia hii

Akiraeli = okoa hii

Furandumi = furahua bwana

Shisaria = nisamehe

Shimarisaeli = nimemaliza hili

Winyaeli = sumbukia hili

Alesanjo = ameoshwa

Ekyandumi = msaidie bwana

Elishifwaya = nisamehe hii.

Arakyasaa = ngoja ahadi

Akaufoo= huu ndio upole

Shisandumi = bwana nichunge

Furanaeli = furahia

50.Mbora = baraka
 
Majina ya wanawake.

Ikunda = upendo

Anansia = anafuraha

Aikande = asante baba

Anaufoo = ana upole

Aika = asante

Nsia = furaha

Ana = shukuru

Ruyaeli = tafuta hii

Mesia = masihi

Eliasante = asante hii

Ndensia = baba furaha

Aluseta = ametufurahisha

Elieshi = anajua hii

Elisaria = hii ni neema

Eliayo = kwa kuwa yupo

Aimbora = hii baraka

Eliukundi = huu ni upendo

Nkiraningaya = mwokozi sikia

Apaufoo = upole uliopitiliza

Eliuruma/ Elisaria = hii ni huruma/ neema

Eshimendi = anajua mda

Nkakyenyi = mwamke wa nyumbani

Nkamai = wajina wa bibi

Shiwikyansia = niwekee furaha

25.Elikunda = huu upendo

[https://1]

MAJINA YA WANAUME

Saria = neema/same he

Eshiwakwe = anajua wake

Kubwaeli = kumbuka hii

Kundasenyi = penda kwenye nuru

Wangaeli = ita

Elimuhidimi = kwakuwa anatosha

Wangandumi = muite bwana

Werandumi = msubiri bwana

Irrikyaeli = kubali hili/ hii

Isawafoo = chunga wako

Shisalalya = nisimamie

Elingao = hii ni ngao

Kusirie = amini

Onasaa = ona nuru

Aleonasaa = amepata nuru

Shekyandumi = nisaidie bwana

Shekyaeli = nisaidie hii/hiki

Eliapenda = penda hii

Elineema = neema hii

Ndemfoo = bwana ni mpole

Lookenyi = paza sauti

Keshenyi = lalashowi

Lalashowi = keshenyi

Elyiakwani = kwa kuwa wanahusiana

Ndelutarami = bwana tusaidie

Anandumi = shukuru bwana

Anaeli = shukuru hii

Shifoya = nisamehe

Ndenisari = baba ni mwenye nisamehe

Oshoraeli = omba hii

Ringaufoo = chunga upole

Wariaeli = pokea hii

Terewaeli = omba hii

Aranyandumi = msikilize bwana

Shilelandumi = bwana nilee

Endwasen = aletwe nuruni

Furahanaeli = furahia hii

Akiraeli = okoa hii

Furandumi = furahua bwana

Shisaria = nisamehe

Shimarisaeli = nimemaliza hili

Winyaeli = sumbukia hili

Alesanjo = ameoshwa

Ekyandumi = msaidie bwana

Elishifwaya = nisamehe hii.

Arakyasaa = ngoja ahadi

Akaufoo= huu ndio upole

Shisandumi = bwana nichunge

Furanaeli = furahia

50.Mbora = baraka
Hakuna Elisante wala Elihuruma mwanamke
 
Back
Top Bottom