Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

Wamasai;

Molel,
Laiser

Wameru:

Kaaya,
Nkya,
Ndosi,
 
3. Wanyakyusa
  • Tuntufye
  • Mwakyusa
  • Mwakalebela
  • Ntitu
  • Mwakosya
  • Tafa.
Andongolile Bhongwenda Mmasyanju,
Anyasime Akasopo,
Mwamfupe,
Mwafwetelele,
Mwangafi,
Tujhobepo,
......Endelea......

[/QUOTE]


Wanyakyusa utataja hapa hadi kesho

Andongolile
Andindilile
Andongwisye
Anyambilile
Asanwisye
Anyelwiswe
Mwakindu
Mwalindu
Mwalyundu
Mwafilombe
Mwambenja
Mwakibibi
Mwalyojo
Mwaipopo
Mwakipapa
 
Kwa wapare sifuni, mbazi, mkazeni ni majina sio ukoo, ambazo ujaziweka ni zifuatazo
  • Mzirai
  • Mrutu
  • Mfinanga
  • Mzava
  • Mmbaga
  • Mwanga
  • Mkamba
  • Mtaita
  • Mchomvu
  • Mruma
  • Msoffe
 
kwa wagogo ongezea mc pilipili na matonya
 
WANDENGEREKO
Samata
Mbwia
Mtiga
Mbonde
Mlanzi
Magenge
Kusi
Msosi
Moshi
Msumi
Mgombelwa
Ngungu
Mtauka
Mlongakweli
Zimbwe
Muba
Mtambo
Mtilwa
na ukiona jina limeanziwa na NYA ujue la kike mfano Nyamagenge
 
Kuna kabila wanaitwa waikoma wako Serengeti.
Makuru
Nyigoti
Shanyangi
Kora
Magige
Maro
Mosoka
Mturi
Morumbe
Shaweshi
Machota
Marinya
Masamaki
Kumari
Makang'a
Nyamokora
Machabha
Mboi
Makora nk.
Nyahega, Wambura, Mahiti, Sentehu, Machambire, Kisigiro, Nyambureti, Mseti, Nyankuma, Mechara nk..
 
H
Hivi Tanzania tuna makabila 126? Tunaweza kupata orodha yote?
 
Wazinza.


Tibasubha
Tizebha
Tibhengana
Tilubhahamo
Kambona
.
.
.
.
.
.
.
Ongeza na yako
 
Wairaqw,,,,,,,,,,Mandah do Bayyo,,
Sule
Tsii
Gurty
Tsere
Naani
Panga
Slegay
Ombay
Qaymo
Mandah do sulle
Mahhu
Na wengineo wairaqw wenZangu ongezen hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…