Hizo sio Koo za Kikurya bali kuna koo 15 ambazo ni Abhasonga, Wanyabasi, Wasweta, Bakira, Bakenye, Waunyaga, Wakiroba, Wangoreme, Watimbaru, Iregi, Ikoma, Banguma, Banyamongo, Balinchoka, Banchari na Wamera.. Wakurya
- Chacha
- Mwita
- Marwa
- Matiku
- Wambura
- Nyarukamu
- nk
Mbona hujataja Wamambwe na Warungu,Wanyiha na Wanyamwanga?Wana JF;
Inasemekana Tanzania ina Makabila 126 na katika makabila haya kuna Koo au majina mbalimbali. Je tunaweza kusaidiana kutaja majina haya ya Ukoo au makabila yaliyo Common?
Majina ni kama ufuatavyo:
Update No. 2
1. Wachagga
2. Wahaya:
- Massawe
- Mushi
- Mosha
- Temu
- Mtei
- Kimaro
- Kimario
- Mosha
- Marealle
- Lyimo
- Chuwa
- Mallya
- Kisaka
- Komu
- Mchau
- Silayo
- Makundi
- Mboro
- Sangawe
- Tafadhali endelea . . .
3. Wanyakyusa
- Rugaimukamu
- Rutakyamirwa
- Rutabanzibwa
- Tafadhali Endelea
4. Wangoni
- Tuntufye
- Mwakyusa
- Mwakalebela
- Ntitu
- Mwakosya
- Andongolile
- Bhongwenda
- Mmasyanju
- Anyasime
- Akasopo
- Mwamfupe
- Mwafwetelele
- Mwangafi
- Tujhobepo
- Mwasongwe
- Mwakatimbo
- Mwamfupe
- Mwaiapaja
- Mwaisaka
- Mwakamela
- Mwanjelwa
- Mwakilasa
- Mwasakafyuka
- Mwakyusa
- Mwakatumbula
- Mwasubila
- Mwankenja
- Mwakatundu
- Mwakalinga
- Mwakyembe
- Mwakyambiki
- Mwaipasi
- Mwakapugi
- Mwaisemba
- Mwandemani
- Mwakoba
- Mwakajinga
- Mwanguku
- Mwalwisi
- Mwalupindi
- Mwamugobole
- Mwankemwa
- Tafadhali endeleza
5. Wajaluo
- soko
- moyo
- nguruwe
- mbuzi
- fusi
- nyoni
- Ndunguru
- tembo
- njovu
- Komba
- Mapunda
- Gama
- Mpambalioto
- Songea
- Mbano
- Mtazama
- Maseko
- Zwangedaba
- Mpezeni
- Endeleza tafadhali . . .
6. Wakurya
- Otieno
- Onditi
- Omolo
- Owino
- Omondi
- Ojwang'
- Osodo
- Odhiambo
- Okinyi
- Odipo
- Ochuodho
- Ondiek
- Onyango
- Otieno
- Oludo
- Okeyo
- Oluoch
- nk
7. Wasambaa
- Chacha
- Mwita
- Marwa
- Matiku
- Wambura
- Nyarukamu
- nk
- Semhando
- Shelukindo
- nk
8. Wasukuma...
8. Wafipa
- Mabula
- Masanja
- Magembe
- Masunga
- Singiri
9. Wanyasa
- nkoswe
- mpambwe
- khamsini
- mwanakatwe
- nswima
- mzindakaya
- simbakavu
- kagosha
- mwananzila
- mwanachifunda
- sichone
- Endeleza tafadhali
9. Wamatengo
- komba
- ndomba
- nchimbi
- ndunguru
- kumburu
- nkondola
- kanjolonga
- Komba
10. Wakinga
- Chande
- Sanga
- Msigwa
- Fungo
11. Wapare
- Mbwambo
- Mkwizu
- Msuya
- Mshana
- Msangi
- Twazihirwa
- Nimzihirwa
- Tumsifu
- Ombeni
- Mkazeni
- Mbazi
- Sifuni
12. Wabondei
- Fungo
13. Wahehe
- Mkwawa
- Kihwele
- Mng'ong'o
14. Wajita
- Masatu
- Manyama
- Mafuru
- Mafwere
- Mafwimbo
- Magafu
- Majigo
- Majubu
15. Wamakonde
- Bachikeli
- Chumuni
- Chilingi
- Mutoka
- Nyumba
- Chimu
16. Waha
- Twagiraneza
- Zunguye
- Ntuyabaliwe
- Twakaniki
- Hungu
17. Wagogo
Tafadhali naomba tusaidiane kutaja majina mbalimbali ya Ukoo au Makabila kwa kila Kabila na vile vile tuendeleze listi hii hadi yafike makabila 126.
- Chipanha
- Chigwiyemisi
- Chihonyhi
- Chiligati
- Chibehe
- Chibulunje
- Chikoti
- Malecela