Yajue Maslahi manononya MAJAJI Tanzania

Yajue Maslahi manononya MAJAJI Tanzania

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Ukiwa jaji umeula hadi kifo. Yafuatayo NI maslahi ya Majaji wa Mahakama Juu na Rufaa nchini.

1. Kulipiwa nyumba Grade A,
2. Usafiri (4WD/dereva/mlinzi),
3. Kusafiri daraja la biashara/Kwanza kwenye ndege,
4. Posho ya mavazi.

NB: pamoja na yote haya bado wapo wanachukuav rushwa?

**Naambatanisha na Sheria husika
 

Attachments

Mbona sioni hayo maslahi unayosema? Kqa hiyo ulitaka Jaji apande Kimbinyiko au Ngorika wakati ana hukumu za kunyonga watu? Pumbavu kabisa
 
Manononya ni nini mkuu? Au ni typo?

Screenshot_20250223_045850_Chrome.jpg
 
Ukiwa jaji umeula hadi kifo. Yafuatayo NI maslahi ya Majaji wa Mahakama Juu na Rufaa nchini.

1. Kulipiwa nyumba Grade A,
2. Usafiri (4WD/dereva/mlinzi),
3. Kusafiri daraja la biashara/Kwanza kwenye ndege,
4. Posho ya mavazi.

NB: pamoja na yote haya bado wapo wanachukuav rushwa?

**Naambatanisha na Sheria husika
Mbona umesahau 80%ya mishahara yao baada ya kustaafu hadi siku Mungu anapowapenda zaidi.
 
Back
Top Bottom