yajue matawi ya Simba na Yanga, wanapocheza na tawi lao wanapewa nafuu lakini kwa timu ya tawi pinzani nati zinakazwa

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
MUHIMU
  • Unaweza kuidhamini timu lakini bado ikawa upande wa adui yako !!
  • Kuna muda tawi linaweza kukazi upande wao, si kila mechi ni mtelezo

SIMBA
  • Azam (Timu nyingi zinakuja na kupotea ila azam ni habari nyingine, hawajatoka nje ya tatu bora tangu 2016 )
  • Coastal Union
  • Tabora United
  • JKT
  • Namungo
  • Kengold

YANGA
  • Dodoma Jiji
  • Kagera Sugar
  • Pamba Jiji
  • KMC
  • Prisons
  • Singida Fountain
  • Singida Big Stars

Kwa maoni yangu naona matawi yapo balanced,

  • Yanga ina Quantity (idadi) kubwa ya matawi lakini Quality ( ushindani ) ndogo
  • Simba ina Quantity (idadi) ndogo ya matawi lakini Quality ( ushindani ) kubwa
 
Ndo maana huko champions league wanaishia robo tu miaka nenda Rudi, kule hawana matawi yao
 
Kwanza hujui mpira.. KEN gold ina msimu mmoja tu kwenye ligi toka lini ikawa kichaka cha SimbaSC?
 
Hadithi za Sukununu
 
yale madai ya sindano mmeisha yajibu kwani?
mbona mpo kimya sana, mkaishia kuuhama uwanja tu.

Timu ndogo kwa rank za CAF, lengo lao ni kuikamia timu kubwa ya Simba tu.

Msimu huu timu yanga kushindwa hata kuingia Robo ya mabingwa Afrika kumewashangaza watu wengi sana.
Na ni fedheha kubwa sana sana.
Nasubiri mechi ijayo.
Jesus need you.
 
Simba matawi yake yote yanamkazia na muda mwingine yanamtandika.

Simba 2 vs coastal 2

Yanga matawi yake hayamkazii na anachukua point
kirahisi tu.

Yanga 1 vs SBS 0
Yanga 2 vs SBS 1.
 
Huujui mpira. Kojoa ulale
 
Hata matawi kuna muda yanakaza lakini pia si kila timu inayofungwa na Yanga ni tawi, Simba walikandwa tano sio kigezo cha kuwa tawi la Yanga, ila sio tawi
Simba nao ni tawi la Yanga wamefungwa mara 4 mtawalia. Waongeze kwenye matawi ya Yanga hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…