round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Angalia na ubora wa matawi, team nzito kama Azam ni nafuu zaidi ikiwa tawi lakini ni hatari sana ikiwa sio tawi,Mbn km 🐸 ana machaka mengi
Kwa hiyo team yoyote ambayo yanga hapati matokeo kwa urahisi ni matawi ya simba?Angalia na ubora wa matawi, team nzito kama Azam ni nafuu zaidi ikiwa tawi lakini ni hatari sana ikiwa sio tawi,
Hata matawi kuna muda yanakaza lakini pia si kila timu inayofungwa na Yanga ni tawi, Simba walikandwa tano sio kigezo cha kuwa tawi la Yanga, ila sio tawiKwa hiyo team yoyote ambayo yanga hapati matokeo kwa urahisi ni matawi ya simba?
Ndo maana huko champions league wanaishia robo tu miaka nenda Rudi, kule hawana matawi yaoN:B: Unaweza kuidhamini timu lakini bado ikawa upande wa adui yako !!
SIMBA
- Azam (Timu nyingi zinakuja na kupotea ila azam tangu 2018 hajashuka namba 3, Ni tawi muhimu sana)
- Coastal Union
- Tabora United
- JKT
- Namungo
- Kengold
YANGA
- Dodoma Jiji
- Kagera Sugar
- Pamba Jiji
- KMC
- Prisons
- Singida Fountain
- Singida Big Stars
Hadithi za SukununuN:B: Unaweza kuidhamini timu lakini bado ikawa upande wa adui yako !!
SIMBA
- Azam (Timu nyingi zinakuja na kupotea ila azam tangu 2018 hajashuka namba 3, Ni tawi muhimu sana)
- Coastal Union
- Tabora United
- JKT
- Namungo
- Kengold
YANGA
- Dodoma Jiji
- Kagera Sugar
- Pamba Jiji
- KMC
- Prisons
- Singida Fountain
- Singida Big Stars
Kwa maoni yangu naona matawi yapo balanced, usiangalie wingi tu, pima na ubora wa timu tawi
Shindeni tano tena march huwez kuifunga tano simba km hujuma haijapitaHata matawi kuna muda yanakaza lakini pia si kila timu inayofungwa na Yanga ni tawi, Simba walikandwa tano sio kigezo cha kuwa tawi la Yanga, ila sio tawi
Na wakishinda tena utawaambia niniShindeni tano tena march huwez kuifunga tano simba km hujuma haijapita
Huna team ww saiz ya kushinda lbd achezeshe kayokoNa wakishinda tena utawaambia nini
Wote wabovu lakini mbona kama naona Simba ndo wabovu zaidiHuna team ww saiz ya kushinda lbd achezeshe kayoko
Save dateWote wabovu lakini mbona kama naona Simba ndo wabovu zaidi
OkSave date
Huujui mpira. Kojoa ulaleyale madai ya sindano mmeisha yajibu kwani?
mbona mpo kimya sana, mkaishia kuuhama uwanja tu.
Timu ndogo kwa rank za CAF, lengo lao ni kuikamia timu kubwa ya Simba tu.
Msimu huu timu yanga kushindwa hata kuingia Robo ya mabingwa Afrika kumewashangaza watu wengi sana.
Na ni fedheha kubwa sana sana.
Nasubiri mechi ijayo.
Jesus need you.
Simba nao ni tawi la Yanga wamefungwa mara 4 mtawalia. Waongeze kwenye matawi ya Yanga hapoHata matawi kuna muda yanakaza lakini pia si kila timu inayofungwa na Yanga ni tawi, Simba walikandwa tano sio kigezo cha kuwa tawi la Yanga, ila sio tawi