Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 407
- 178
Tatizo mnaendekeza sana starehe. Endelea kutumia pesa ya stationary bumu likiingia utajazia.
Tatizo mnaishi bila bajeti. Mnajifanya familia bora wakati watoto wa Mkulima.
Tatizo mnaendekeza sana starehe. Endelea kutumia pesa ya stationary bumu likiingia utajazia.
Tatizo mnaishi bila bajeti. Mnajifanya familia bora wakati watoto wa Mkulima.
Mfumuko wa bei ya vyakula umefikia 17% na thamani ya shilingi imeendelea kuporoka kwa kasi. Mkopo ni 7500/-kwa ajili ya chai,chakula mchana na jioni, na malazi kwa siku moja. Fedha ya stationary ni sh. 100,000/- semista. Kutokana upungufu wa vitabu tulazimika kutoa photocopy. Mimi huwa natoa copy kwa wastani wa sh.20000/= kwa kitabu,bado handouts n.k. Hiyo budget unayosema ndugu yangu ni ya namna gani? Tuwekee mfano wa mchanganuo hapa tujifunze. Kumbuka pia bei za vyakula kuzunguka vyuo zilipanda mara tu baada fedha kuongezwa kutoka 5000/- HADI 7500/-, je ongezeko lina maana gani?
unachosema ni tofauti na mwenzako anachodai. Jarbu kumsoma vizuri.
Ushaanza ujinga wako mzeeTatizo mnaendekeza sana starehe. Endelea kutumia pesa ya stationary bumu likiingia utajazia.
Tatizo mnaishi bila bajeti. Mnajifanya familia bora wakati watoto wa Mkulima.
Kama kwa sisi tusiofanya starehe huwa tunajikuta tunaingiza fedha za stationary kwenye matumizi ya chakula na malazi pamoja kujitahidi kufanya budgeting, sijui kwa wanaofanya starehe watakuwa na hali gani!! Ninafikiri ninaweza kuwa nimekusoma vizuri!?