TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
mimi yangu 1
wako upi mkuu?Ni Mtazamo
Nafurahi nikiona bado una mawazo yaleyale.Nina picha za Congo kama hizi.Unazitaka pia???
Mara nyingi huwa najiuliza: Hivi mtu kama Rostam anaweza kweli kuweka picha hizi katika ukurasa wa mbele wa magazeti yake -- kuonyesha jinsi serikali ya CCM ilipotufikisha? Hawezi kwani yeye binafsi amechangia kwa kiasi kikubwa hali hii -- kutokana na ujambazi wake kwa Watz.
Kha!!Unaibiwa kumbe!!
Wewe!!Hivi unajua footage inaonyesha ulivyo na matatizo ya kufikiri???Nitakutumia pia za Kibera useme ni Manzese.LOL:becky: