Yako wapi juu ya shule ya sheria?

nyundo2017

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2017
Posts
1,439
Reaction score
861
Niliwahi kuhoji kwa nini wanafunzi wengi wanafeli katika shule ya sheria watu walikuja juu humu jf kuwa wanafunzi hawasomi,lakini juzi imegundulika kuwa wanafunzi wanafelishwa makusudi na mwalimu mmoja katimuliwa na wengine kupewa onyo.

Tusiwe tunashabikia tuuu eti wanafunzi hawasomi kumbe kuna mizengwe.
 
R.I.P NDELWA PUMBAVU ZAKE POPOTE ALIPO!! KARMA [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Acha wafeli tu maana wamasheria na mahakimu kazi yao nikufunga watu wasio na hatia
 
binafsi huwa nahesabu kuwa mwalimu akimfundisha watoto 500 wakafaulu 200 jibu ni kwamba yule mwalimu hana uwezo wa kufundisha. hatufundishi watoto ili wafeli bali wafaulu, na kubania watu maisha haimaaini kuwa ndio unanoa tasnia. nawaonea huruma sana wadogo zangu ambao hawajaapishwa hadi leo, sisi wenzenu tulipitia bar sio hiyo shule wanayowaumiza, watu wanacarry hadi huruma. ni kitu kizuri kuliko bar lakini acheni manyanyaso nyie walimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…