Yako wapi mabaraza ya katiba ya ccm?

KALEM B

Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
51
Reaction score
25
Waungwana nimesukumwa kuuliza swali hili baada ya kuvutiwa na utaratibu wa CHADEMA wakuhakikisha maoni yawasilishwayo na chama hicho yanatoka kwa wananchi moja kwa moja tena kwa mikoa yote kitendo ambacho ata tume ya warioba haikufanya kwa uwazi kiasi hichi,kinachonishangaza nipale tarehe 21.7.2013 niliyaona maoni ya ccm kwenye gazeti la mwananchi na sikujua wameyakusanya wapi maana ata wana ccm wa mkoa wa Singida walishangaa kuona maoni hayo nawao hawakushiriki kuyatoa,hii imekaaje ndugu Nape
 
Maoni yalishatolewa na "viongozi"
ambao ni wawakilishi wa wananchi. Fikra za viongozi lazima zipewe heshima.
 
achani wafu wazikane CDM songa mbele
 
Maoni yalishatolewa na "viongozi"
ambao ni wawakilishi wa wananchi. Fikra za viongozi lazima zipewe heshima.

Kumbe kuna watu humu jf bado hawajui maana halisi ya neno uwakilishi? sasa kama ni mwazo yaviongozi wanawakilisha nini hapo? kusema kweli magaba kwa hili la maoni wamechemka sana. VIVA CDM
 
Wao ni kama nyoka wa wale wachawi wa Misri na fimbo la Mussa.
 
Ya ccm ni ya vikao vya ndani!
 
Yako tayari, yamefanyika nchi nzima, shida yako nini?
 
Kumbe kuna watu humu jf bado hawajui maana halisi ya neno uwakilishi? sasa kama ni mwazo yaviongozi wanawakilisha nini hapo? kusema kweli magaba kwa hili la maoni wamechemka sana. VIVA CDM



Maoni yalishatolewa na "viongozi"
ambao ni wawakilishi wa wananchi. Fikra za viongozi lazima zipewe heshima.

Mkuu nafikiri hukunielewa nilichomaanisha hapo juu, ndio maana neno viongozi nikaliwekea alama "....". Hii aina ya uandishi inaitwa "ironic", ni aina ya uandishi wa kejeri. Samahani kama nilikukwaza mkuu wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…