Euaggelion03
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 722
- 789
Wadau,
Kwanza kabisa napenda kutoa pongezi zangu za dhati kabisa kwa baraza la mitihan Tanzania.Kwakweli kwa miaka miwili mfululizo sasa(2013&2014)wamejitahidi kutoa matokeo ya drs sa 7 mapema na kuyaweka kwenye mitandao.
Lakini mbona sioni mpaka muda huu hizo shule walizopangiwa hawa vijana wetu?
Mwenye taarifa tafadhal naomba atujuze.
Kwanza kabisa napenda kutoa pongezi zangu za dhati kabisa kwa baraza la mitihan Tanzania.Kwakweli kwa miaka miwili mfululizo sasa(2013&2014)wamejitahidi kutoa matokeo ya drs sa 7 mapema na kuyaweka kwenye mitandao.
Lakini mbona sioni mpaka muda huu hizo shule walizopangiwa hawa vijana wetu?
Mwenye taarifa tafadhal naomba atujuze.