Yako wapi majina ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2015?

Yako wapi majina ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2015?

Euaggelion03

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
722
Reaction score
789
Wadau,
Kwanza kabisa napenda kutoa pongezi zangu za dhati kabisa kwa baraza la mitihan Tanzania.Kwakweli kwa miaka miwili mfululizo sasa(2013&2014)wamejitahidi kutoa matokeo ya drs sa 7 mapema na kuyaweka kwenye mitandao.
Lakini mbona sioni mpaka muda huu hizo shule walizopangiwa hawa vijana wetu?
Mwenye taarifa tafadhal naomba atujuze.
 
Back
Top Bottom