Yale mambo ya mauzo ya dhahabu kwa wananchi niliyasema wiki iliyopita, wenzetu wanafanya kama hivi

Hebu nidokeze kidogo kuhusu hili maana naona fomu za kujaza hapo na masharti kidogo
Nanunua dhahabu na kujiwekea mara moja moja ila hii naona ni nzuri pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…