Nami nilisikiaga na kuona kwa TV, sijui iliishia wapi?Mwaka Jana nakumbuka kulitokea chemchem ya Matope maeneo ya Kunduchi Dar es Salaam. Matope haya yalikuwa kama Ujiji yakitokea CHINI ya Ardhi.
Tuliambiwa uchunguzi unaendelea .Sikumbuki / pengine sijawahi kusikia taarifa ya Kitaalam kwamba kile ni kitu gani!
Naomba mnikumbushe!
SawaTuliparekebisha kwa kufeed tope kwenye sehemu zenye weakness.
Nchi hii kwa maigizo ya kiboya haijambo kwakweliMwaka Jana nakumbuka kulitokea chemchem ya Matope maeneo ya Kunduchi Dar es Salaam. Matope haya yalikuwa kama Uji yakitokea CHINI ya Ardhi.
Tuliambiwa uchunguzi unaendelea, sikumbuki / pengine sijawahi kusikia taarifa ya Kitaalam kwamba kile ni kitu gani!
Naomba mnikumbushe!
Sampo walipeleka TRC waone kama yanafaa kutengenezea mataruma ya reli ya SGR na mengine walipeleka Uyole Mbeya kuona kama yanafaa kujengea barabara ya mwendokasi.Mwaka Jana nakumbuka kulitokea chemchem ya Matope maeneo ya Kunduchi Dar es Salaam. Matope haya yalikuwa kama Uji yakitokea CHINI ya Ardhi.
Tuliambiwa uchunguzi unaendelea, sikumbuki / pengine sijawahi kusikia taarifa ya Kitaalam kwamba kile ni kitu gani!
Naomba mnikumbushe!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umesahau waliyopeleka ikulu kutengeneza mafiga ya kupikia chakula.Sampo walipeleka TRC waone kama yanafaa kutengenezea mataruma ya reli ya SGR na mengine walipeleka Uyole Mbeya kuona kama yanafaa kujengea barabara ya mwendokasi.
Sawa Mtaalamu!Ilishatolewa report na hii issue haikuwa mwaka jana kama mtoa mada alivyowasilisha bali ilikuwa 2020 na katika report kama nakumbuka vizuri walieleze walivyotumia electric shork waves kupima kiwango cha maji pamoja na soil texture lakini pia walipima kiwango cha joto cha udogo wakasema joto la udogo ni dogo hvy haina uhusiano na shughuli za volcano.Zaidi walisema lile tope lilisababishwa na mgandamizo wa uwiano wa maji na udogo na kutengeza udogo uliokufa ndo hilo tope lililokuja juu.
Heri ya sikuku ya uhuru