Yale yale, Wameleta tena Bondia wa uongo wanamuita Msouth! haya mambo yataisha lini?

Yale yale, Wameleta tena Bondia wa uongo wanamuita Msouth! haya mambo yataisha lini?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ukisikia Utapeli ndio huu! Yaani wanatuona mabwege sana!

Wameokota Bondia wanapojua wenyewe wanasema ni Msouth, nadhani Azam na hivyo vitasa vyao wamefikia kikomo
 
Back
Top Bottom