kitandilikunja
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 229
- 37
Hii yanga tuihamishie EPL mkuu Makoye Matale hiki kiwango si cha kawaida
Mikia mpooooooo
naona mda wowote hapa tutainuka vitini kwa mara ya tatu
Ahahahahaaaa.
Jamani,hivi hao waarabu ninao waona hapo jukwaani si wale wa Etoile Du Sahel kweli?
Mmekwishaaaaaaaaa!
Wanasubiri na Ngasa aingie ili wafunge vitabu vyao.
Canavaro bado anazidi kujiwekea record ya pekee duniani. Ni beki pekee mwenye magoli mengi ya kufunga, ni mchezaji pekee duniani kuwa captain wa timu 3
Leo yeboyebo lazima wapigwe,hao vijana me nawajua ni full kukimbiza mpaka dak za nyongeza.
hilo goli amelifungaje fungaje captain canavaro
hilo goli amelifungaje fungaje captain canavaro