Jeuri yote itaisha siku mtakayokutana na waarabu
Yanga kueni na huruma khaaa!
Yani mnataka kumuingiza Ngasa?
Hi sasa sifa.
kafie mbali Huna lolote..vip kuhusu ile red cad ya stand utd plus dakika 105 Za kupewa ili muihujum stand utd lakin mkaishia kuchomekwa kidude
Mechi ya kipuuuuuuzi.
Na log off!
Leo ni leo.
Wale jamaa wataalamu wa kupiga mtu kwa kufata tar huku wafungaji wao wakitupia kwa kufuata mwezi watakua taifa jioni ya leo kupambana na wagonga nyundo wa nyanda za juu kudini(MCC)
Tuwe pamoja bila kukosa.
kuhusu viwanja vingine matakoe wekeni hapa pia.
Mwenye ratiba ya viwanja vingine aiweke hapa pia!!!
Updates:
HT:
Yanga2-1Mbeya City.
Updates:
Dk48:
Yanga3- 1MCC-Them Felix.
Sherman
Telela
Canavaro
Mechi ya kipuuuuuuzi.
Na log off!
Mechi ya kipuuuuuuzi.
Na log off!
Yani hawa mcc wanapiga mpira mkubwa sana leo.Tatizo ni hiyo minoti ya muhindi waliyopewa jana jioni ili wasiifunge Yanga,so ngoma itaisha kwa droo,ikitokea tofauti 'nibandueni'
Leo nipo njia panda. Huku Yanga, huku vijana wa nyumbani. Baada ya kuweka kwenye mizani, Yanga lazima ashinde.
Mwigulu Nchemba yupo uwanjani anashangilia sana Yanga muda wote
Kiongozi uliweka ahadi hapo Please usitoke kwanza kabla hatujakubandua. Au kuna mtu anaenda kuanza so sisi tusubirie
Mkuu anza kwa kutoa pongezi kwanza...
...mcc watashinda tu