Yaliomkuta Mpina yahamia kwa DK. Mabula, Spika Tulia amtaka Kuwasilisha Ushahidi Kuhusu Madai ya Wodi ya Kituo cha Afya Sangabuye

Yaliomkuta Mpina yahamia kwa DK. Mabula, Spika Tulia amtaka Kuwasilisha Ushahidi Kuhusu Madai ya Wodi ya Kituo cha Afya Sangabuye

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Wakuu kwema!

Yaliomkuta Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina hatimaye yamemkuta Dk. Angelina Mabula ametakiwa apeleke ushahidi Bungeni kuhusu Kituo cha Afya Sangabuye wodi moja wanaume, wanawake na watoto.

Hii inaleta maana gani kwa Wabunge hawa waliokutana na hili jambo kutoka kwa Spika, na jinsi ilivyo Dk. Angelina Mabula simuoni akitoa hapa lazima apigwe sauso mapema tu.
=========
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amemwagiza Mbunge wa Ilemela (CCM), Dk. Angelina Mabula kuwasilisha bungeni kesho ushahidi kuhusu madai ya Kituo cha Afya Sangabuye, Manispaa ya Ilemela, mkoani Mwanza kuwalaza katika wodi moja wanaume, wanawake na watoto.

Akitoa maelekezo hayo jana baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika Tulia alisema: "Jana (juzi) katika majibu ya serikali kulikuwa na hoja ya Kituo cha Afya Manispaa ya Ilemela na nilimwagiza mbunge alete ushahidi kwa namna kanuni zetu zinavyotaka, lakini nilikuwa sijampa tarehe ya kuleta huo ushahidi. Sasa nimpe tarehe ya kuleta itakuwa Agosti 30, 2024."

Soma Pia:

Suala hilo liliibuliwa bungeni juzi baada ya mbunge huyo katika swali la nyongeza kulieleza Bunge kuwa kituo hicho kimetokana na kupandishwa hadhi zahanati iliyokuwapo kuwa kituo cha afya mwaka 1999, lakini hadi sasa kina wodi moja inayotumiwa na wanawake, wanaume na watoto.

Mbunge Angelina pia alihoji lini serikali itakamilisha majengo ya kituo hicho pamoja na kujenga uzio.
 
Wakuu kwema!

Yaliomkuta Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina hatimaye yamemkuta Dk. Angelina Mabula ametakiwa apeleke ushahidi Bungeni kuhusu Kituo cha Afya Sangabuye wodi moja wanaume, wanawake na watoto.

Hii inaleta maana gani kwa Wabunge hawa waliokutana na hili jambo kutoka kwa Spika, na jinsi ilivyo Dk. Angelina Mabula simuoni akitoa hapa lazima apigwe sauso mapema tu.
=========
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amemwagiza Mbunge wa Ilemela (CCM), Dk. Angelina Mabula kuwasilisha bungeni kesho ushahidi kuhusu madai ya Kituo cha Afya Sangabuye, Manispaa ya Ilemela, mkoani Mwanza kuwalaza katika wodi moja wanaume, wanawake na watoto.

Akitoa maelekezo hayo jana baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika Tulia alisema: "Jana (juzi) katika majibu ya serikali kulikuwa na hoja ya Kituo cha Afya Manispaa ya Ilemela na nilimwagiza mbunge alete ushahidi kwa namna kanuni zetu zinavyotaka, lakini nilikuwa sijampa tarehe ya kuleta huo ushahidi. Sasa nimpe tarehe ya kuleta itakuwa Agosti 30, 2024."

Soma Pia:

Suala hilo liliibuliwa bungeni juzi baada ya mbunge huyo katika swali la nyongeza kulieleza Bunge kuwa kituo hicho kimetokana na kupandishwa hadhi zahanati iliyokuwapo kuwa kituo cha afya mwaka 1999, lakini hadi sasa kina wodi moja inayotumiwa na wanawake, wanaume na watoto.

Mbunge Angelina pia alihoji lini serikali itakamilisha majengo ya kituo hicho pamoja na kujenga uzio.
Unlike mabula mpina ana evidence, na amejipanga, mabula not so much
 
Wakuu kwema!

Yaliomkuta Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina hatimaye yamemkuta Dk. Angelina Mabula ametakiwa apeleke ushahidi Bungeni kuhusu Kituo cha Afya Sangabuye wodi moja wanaume, wanawake na watoto.

Hii inaleta maana gani kwa Wabunge hawa waliokutana na hili jambo kutoka kwa Spika, na jinsi ilivyo Dk. Angelina Mabula simuoni akitoa hapa lazima apigwe sauso mapema tu.
=========
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amemwagiza Mbunge wa Ilemela (CCM), Dk. Angelina Mabula kuwasilisha bungeni kesho ushahidi kuhusu madai ya Kituo cha Afya Sangabuye, Manispaa ya Ilemela, mkoani Mwanza kuwalaza katika wodi moja wanaume, wanawake na watoto.

Akitoa maelekezo hayo jana baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika Tulia alisema: "Jana (juzi) katika majibu ya serikali kulikuwa na hoja ya Kituo cha Afya Manispaa ya Ilemela na nilimwagiza mbunge alete ushahidi kwa namna kanuni zetu zinavyotaka, lakini nilikuwa sijampa tarehe ya kuleta huo ushahidi. Sasa nimpe tarehe ya kuleta itakuwa Agosti 30, 2024."

Soma Pia:

Suala hilo liliibuliwa bungeni juzi baada ya mbunge huyo katika swali la nyongeza kulieleza Bunge kuwa kituo hicho kimetokana na kupandishwa hadhi zahanati iliyokuwapo kuwa kituo cha afya mwaka 1999, lakini hadi sasa kina wodi moja inayotumiwa na wanawake, wanaume na watoto.

Mbunge Angelina pia alihoji lini serikali itakamilisha majengo ya kituo hicho pamoja na kujenga uzio.
Mpina / Mabula wote wasukuma! Wasukuma Wana nini ?!
 
Kuna wasaa anakuwa na kiherehere sana huyu speaker; yeye badała ya kuwa moderator wa shughuli za bunge ana act kama vile ni sehemu ya serikali.

Maswali ambayo wanaulizwa mawaziri utakasikia na kenyewe kanaomba maelezo kama vile kameulizwa kenyewe, kakiona swali linaweza kuwa gumu atatengeneza leading statement ya waziri kujibu, au atatoa mwongozo waziri atoe maelezo ya jumla na mara nyingine asijibu kabisa.

Tulia na Zungu wanajionaga miungu watu wakikaa kwenye kiłę kiti ni watu wa hovyo sana.
 
Wakuu kwema!

Yaliomkuta Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina hatimaye yamemkuta Dk. Angelina Mabula ametakiwa apeleke ushahidi Bungeni kuhusu Kituo cha Afya Sangabuye wodi moja wanaume, wanawake na watoto.

Hii inaleta maana gani kwa Wabunge hawa waliokutana na hili jambo kutoka kwa Spika, na jinsi ilivyo Dk. Angelina Mabula simuoni akitoa hapa lazima apigwe sauso mapema tu.
=========
SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amemwagiza Mbunge wa Ilemela (CCM), Dk. Angelina Mabula kuwasilisha bungeni kesho ushahidi kuhusu madai ya Kituo cha Afya Sangabuye, Manispaa ya Ilemela, mkoani Mwanza kuwalaza katika wodi moja wanaume, wanawake na watoto.

Akitoa maelekezo hayo jana baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika Tulia alisema: "Jana (juzi) katika majibu ya serikali kulikuwa na hoja ya Kituo cha Afya Manispaa ya Ilemela na nilimwagiza mbunge alete ushahidi kwa namna kanuni zetu zinavyotaka, lakini nilikuwa sijampa tarehe ya kuleta huo ushahidi. Sasa nimpe tarehe ya kuleta itakuwa Agosti 30, 2024."

Soma Pia:

Suala hilo liliibuliwa bungeni juzi baada ya mbunge huyo katika swali la nyongeza kulieleza Bunge kuwa kituo hicho kimetokana na kupandishwa hadhi zahanati iliyokuwapo kuwa kituo cha afya mwaka 1999, lakini hadi sasa kina wodi moja inayotumiwa na wanawake, wanaume na watoto.

Mbunge Angelina pia alihoji lini serikali itakamilisha majengo ya kituo hicho pamoja na kujenga uzio.
Alete ushahidi badala ya kupaguka tuu
 
Back
Top Bottom