Sasa nisamehe jieaniAsante kwa kukubali
UmeshasamehewaSasa nisamehe jieani
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Umeshasamehewa
Inawezekana akawa kweli kaungua Mkuu.hakika Mungu kaniepusha na jamboHuyo demu ana ngwengwe
Asante sana mkuu.nimeamka maumivu yamepungua kidogopole sana mkuu
Mungu.sawa Mkuu nishafanya hivyoHapo huna haja ya kupewa Pole mkuu,bali wewe ndo umshukuru mungu,amekuonesha kitu.
Asante sana mkuuPoleeee
Ha ha ha ha mkuu unaendeleajeDah.nimevimba zaidi ya uyu Mkuu.mdomo pia umepinda
Angalau naendelea vizuri dadaa ila bado nipo ndani tu Mungu akisaidia labda kesho ndo nitaweza kutokaHa ha ha ha mkuu unaendeleaje