Yalionikuta leo ni zaidi ya Yona alivyo mezwa na samaki

Wewe ni mzinzi sasa ibada unaendaka kufanya nini maana Mungu uwa hasikii maombi ya watenda dhambi Isaya 1:16-19
 
Shetani anajua kuvutia tena hasa hasa akiona kuna kitu unakipenda ambacho hakimpendezi Mungu anakipamba ukisha nasa tuu, anatoka nduki kama hakujui,Mungu atusaidie na pole
 
Wewe ni mzinzi sasa ibada unaendaka kufanya nini maana Mungu uwa hasikii maombi ya watenda dhambi Isaya 1:16-19
Ata yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi .na anasema japokua dhambi zenu ni nyekundu kama damu zitakua nyeupe kama theluhi.only God can judge me
 
Shetani anajua kuvutia tena hasa hasa akiona kuna kitu unakipenda ambacho hakimpendezi Mungu anakipamba ukisha nasa tuu, anatoka nduki kama hakujui,Mungu atusaidie na pole
Na kweli .ashindwe na alegee.asante dadaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…