MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Ikiwa usemacho kitatokea naomba uniwekee akaunti yako PM nitakutumia milioni nne .Wakuu habar,mwenzako akinyolewa zako tia maji na tumeumia sana yanga kufungwa na ihefu Kyle mbarali
Ila yaliyotokea kwa yanga mbarali yanaweza kutokea kwa simba Mbeya sokoine stadium
Nipo hapa nasubir hili kwa usikivu mkuu kabsaaa
Sawa mkuu ata ukinitumia kiasi gani ilimradi utimize ahadi yako tuIkiwa usemacho kitatokea naomba uniwekee akaunti yako PM nitakutumia milioni nne .
Note , sasa hivi nina hela sana maana nimeshinda kesi ya urithi , potezea komenti hii ukose bahati hii.
Rudia!Kuna mtu kapigwa huko
Nipo hapa nasubiri hili kwa usikivu mkuu kabisaaa.[emoji23]Wakuu habari, mwenzako akinyolewa zako tia maji na tumeumia sana Yanga kufungwa na Ihefu Kyle Mbarali.
Ila yaliyotokea kwa Yanga Mbarali yanaweza kutokea kwa Simba Mbeya Sokoine stadium.
Nipo hapa nasubiri hili kwa usikivu mkuu kabisaaa.
Wakuu habari, mwenzako akinyolewa zako tia maji na tumeumia sana Yanga kufungwa na Ihefu Kyle Mbarali.
Ila yaliyotokea kwa Yanga Mbarali yanaweza kutokea kwa Simba Mbeya Sokoine stadium.
Nipo hapa nasubiri hili kwa usikivu mkuu kabisaaa.
πππ
Vipi mimba imetoka au bado unagugumia kwa uchungu?Ihefu wamefanya jambo zuri sana vichaa wameongezeka sana kutokea jana.Hivyo Mirembe itapata wagonjwa wengi sana.Wakuu habari, mwenzako akinyolewa zako tia maji na tumeumia sana Yanga kufungwa na Ihefu Kyle Mbarali.
Ila yaliyotokea kwa Yanga Mbarali yanaweza kutokea kwa Simba Mbeya Sokoine stadium.
Nipo hapa nasubiri hili kwa usikivu mkuu kabisaaa.