rajab degi
Member
- Sep 11, 2015
- 7
- 5
Huenda ndo Kitila mwenyewe!yaani wewe ulijiunga jf kwa ajili ya kitila tu ! ni aibu sana
Tulia Cha Domo [emoji16][emoji23][emoji1787]yaani wewe ulijiunga jf kwa ajili ya kitila tu ! ni aibu sana
Jacob hakuwekewa pingamizi na ccmJIWE na genge lake kwa kutojiamini wamefanya mbinu zao chafu Jacob asipitishwe ili huyu boya wao apite kwa urahisi!!! Kama kweli mnajiamini tume irudishe jina la Jacob halafu tuone kama JIWE na watu wake ni wanaume kweli!
Huyu!!Inamaana kitika kamzidi ata yule bwana pale dodoma[emoji44][emoji44]
Jacob hakuwekewa pingamizi na ccm
Waulizwe ACT Wazalendo hilo swaliKwanini alikatwa kama sio ccm kwa mlango wa nyuma?
kuna tetesi kwamba Bony karejeshwaJIWE na genge lake kwa kutojiamini wamefanya mbinu zao chafu Jacob asipitishwe ili huyu boya wao apite kwa urahisi!!! Kama kweli mnajiamini tume irudishe jina la Jacob halafu tuone kama JIWE na watu wake ni wanaume kweli!
Pamba ni boyaJacob hakuwekewa pingamizi na ccm
amesemaje?Namtabiria makubwa huyu mwamba.
Mungu amjalie apate Ubunge aanze safari ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.
JIWE na genge lake kwa kutojiamini wamefanya mbinu zao chafu Jacob asipitishwe ili huyu boya wao apite kwa urahisi!!! Kama kweli mnajiamini tume irudishe jina la Jacob halafu tuone kama JIWE na watu wake ni wanaume kweli!
Nani kamwambia Pro Mkumbo kuwa akinamama wa Ubungo ni wakavuKitila apata aibu kubwa mkutanoni, ni baada ya kuwauliza akina Mama kama wana maji, wakamjibu Ndio! Alitegemea jibu la hapana ili amu-outsmart Mnyika na Chadema....kaumbuka
Hahahahhahah kazi ipoNani kamwambia Pro Mkumbo kuwa akinamama wa Ubungo ni wakavu
Iko siku atauliza kama wana fangasi au hawana