Anthony Mtaka
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 317
- 94
Hongera sana kamati ya kanuni.
ccm hawana pesa ya kumpa mboe mtoa maada nenda kawadanganye watoto wenzio humu kuna watu tunaheshima zetu pia kumbuka humu wote hawategemei buku7 waish
basi limeandikwa lumumba, umepanda la nn?
Mbowe ni mchaga na katumwa pesa piga pesa acha ujinga broo mbowe maana wangepiga kura ingepita tuu