Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 11 Machi 2014

Jakaya ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kucharazwa maana ndiye aliyewalisha na kuwalazimisha wakubali ujinga wabunge wote wa CCM. Kama CCM watapitisha kura ya wazi, siku za kupiga kura kila mtu ashike kalamu kwaajili ya kuandika majina ya wasaliti wote wa Taifa, wale watakaoonekana kuegemea maslahi ya vyama vyao au vikundi vyao. Wazalendo tutafanya maandamano ya Kitaifa na mikutano mbalimbali kwaajili ya kuyasoma wazi wazi majina yao, kuwalaani rasmi na kuwatangaza rasmi kama maadui wa Taifa.

Tunayoyataka wananchi alikwishaorodhesha Warioba, wanachotakiwa wao ni kuboresha na siyo kubadili au kufuta.
 
Hili bunge linaelekea kupoteza mwelekeo.
Mkuu, kwa sasa naona halijapoteza muelekeo. Akili za wqbunge zimeanza kurudi na sasa wanajua nini wamekuja kufanya Dodoma
 
Lugha za maridhiano zinatawala Bungeni. Jenista Mhagama anaunga mkono azimio kama wale waliomtangulia akina Lipumba, Dr Francis Michael
 
Yote kwa yote tunamshukuru mkuu Chabruma kwa kazi nzuri humu Jamvini.

Mkuu kwa mtu mwenye akili timamuni lazima amuunge mkono Chabruma kwa kazi nzuri anayoifanya. Ila kumdanganya Great thinker ni kujidanganya mwenyewe. Na ndio maana wahenga walisema

MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI?
 
Idrisaa Kitwana sasa anaongea
 

hivi huyu anaye hoji kama wewe ni mjumbe au mtazamaji hasa lengo lake nini hasa? kama taarifa za mjengoni anapata tena zilizo sahihi, kunavitu vingine mimi naona si vya lazima sana.
 
Amani kwako mkuu chabruma tupo pamoja kwenye hili jukumu hongera sana kwa kutuwekea post mada vizuri twende pamoja mkuu.
 
Mkuu kwa mtu mwenye akili timamuni lazima amuunge mkono Chabruma kwa kazi nzuri anayoifanya. Ila kumdanganya Great thinker ni kujidanganya mwenyewe. Na ndio maana wahenga walisema

MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI?
Mkuu, labda kama una jambo jingine. Ila katika hili nipo wazi kabisa na sijawahi kudanganya. Labda utoe huo ushahidi wa kudanganya kwangu.
 
Kitwana anasema kutnda kosa ni kosa ila kurudia kosa ni kuimarisha kosa, kama kunamakosa yalifanyika tusahau tusirudie kosa.
 
Amani kwako mkuu chabruma tupo pamoja kwenye hili jukumu hongera sana kwa kutuwekea post mada vizuri twende pamoja mkuu.
Nashukuru Mkuu. Kumbe upoooo? Leo mmekuwa adimu sana Waheshimiwa. Hata mkuu Skype ​leo simuoni
 
Mkuu kwa mtu mwenye akili timamuni lazima amuunge mkono Chabruma kwa kazi nzuri anayoifanya. Ila kumdanganya Great thinker ni kujidanganya mwenyewe. Na ndio maana wahenga walisema

MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI?
Mkuu pengine unalako jambo unaweza kutwambia wapi kadanganya.
 
hivi huyu anaye hoji kama wewe ni mjumbe au mtazamaji hasa lengo lake nini hasa? kama taarifa za mjengoni anapata tena zilizo sahihi, kunavitu vingine mimi naona si vya lazima sana.
Mkuu, ndo aina ya watu tulionao hawa. Tuwavumilie tu Mkuu
 
Mbatia naye anapata wasaa wa kutoa neno anaanza kwa kuunga mkono azimio la kupitisha kanuni.
 
Habari za asubuhi wajumbe wote wa jf, ndugu wachangiaji, wenye vyama na wasio na vyama bila kumsahau mheshimiwa Chabruma, nipo hewani sasa japo nimechelewa kidogo. Tuko pamoja.

Chabruma nipe mwongozo kwa ufupi sana nini kinaendelea mpaka sasa.
 
Last edited by a moderator:
Mheshimiwa James Mbatia anaongea sasa. Anasema kuwa Tanzania imejenga historia kwa kutumia muda mfupi kutunga kanuni. Kwamba tumetumia wiki tatu tu tofauti na nchi nyingine zilizotumia zaidi ya mwezi mmoja
 
Nashukuru Mkuu. Kumbe upoooo? Leo mmekuwa adimu sana Waheshimiwa. Hata mkuu Skype ​leo simuoni
Ni kweli mkuu mwanzo nilichelewa kidogo nilikuwa nasikiliza azimio lililokuwa linasomwa na mahalu.
 
Just now Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Wamekubaliana kupitisha kanuni isipokuwa vifungu viwili bishani. Vinavyohusu kura ya Wazi au ya Siri.

Hii inaonyesha kuwa wamekubali kazi iendelee wakati kamati ikiendelea kukuna vichwa juu ya vifungu hivyo.

#NASUBIRI UCHAGUZI WA Mwenyekiti wa kudumu.



—-----------------------------------
Ushirikiano wetu kama taifa umeingia katika historia mpya. Naunga mkono 100%. Mhe. Selasini alikuwa sahihi. - Mhe. Mbowe.

-------------------------------------
Uchaguzi wa Mwenyekiti kufanyika kesho, fomu zitaanza kuchukuliwa leo. Kwa mujibu wa kanuni hazionyeshi kuwa Makamu mwenyekiti atachaguliwa kutoka upande gani (Bara au Zanzibar) kimsingi kama Mwenyekiti atatoka Zanzibar basi makamu wake atatoka Tanganyika. And verse versa. Bunge limeahirishwa hadi kesho saa kumi jioni kwa ajili ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa kudumu.
 

Mkuu Chabruma kwanza pole kwa kazi nzuri uifanyayo, pili nikushukuru kwa kuukubali ukweli siku ya leo. Pia nikutoe wasiwasi kuwa sitafuti kitu. Na dhaidi ni kukujulisha kuwa unachokipost ujue kinafuatiliwa na watu makini kama Mkuu ya Kaya hivyo ongeza umakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…