Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 11 Machi 2014

Namuomba mungu awabariki wajumbe kwa manene wanayotoa leo yaendele hivi hivi daima.

sasa vuai aly vuai naye emeunga mkono azimio kwa moyo mmoja kweli hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho sasa tamati tunaifikia.
 
Mama ana abdalla naye anatoa neno la kuunga mkono azimio hili na kutoa pongezi kwa wote kwa kufanikisha mchakato huu wa kanuni.
 
Mheshimiwa Anna Abdallah anaongea. Anawananga wale waliokuwa wanasma kuwa wqnakula posho bure. Anaipongeza Kamati ya Kanuni kwa kazi nzuri waliyofanya. Anampongeza na kumshukuru mwenyekiti kwa uvumilivu. Anawaomba wabunge kupitisha kanuni hizo
 
Sheikh Kundecha sasa anaongea. Anasema kuwa ukamilifu ni wa Mwenyezi Mungu. Kwamba hatarajii kuona ukamilifu kwenye kazi za mwanadamu. Hata hizi kanuni zina mapungufu na kuna mwanya wa kushughulikia mapungufu hayo
 

Thubutu, ingekuwa kwa uwingi wao pekee, wangeforce kiurahisi na kushinda! Inapokuja issue ugumu wa safari ni pale 2/3 yaani theluthi mbili kati ya Zanzibar na 2/3 Tanganyika. Sasa kule Zanzibar CCM na CUF ni almost 50/50, hivyo imewalazimu tu kufanya maridhiano, hakukuwa na namna, na wala si tu kwa rasimu ya kanuni, bali hata Rasimu kuu yenyewe!
 
Mheshimiwa Anna Abdallah anaongea. Anawananga wale waliokuwa wanasma kuwa wqnakula posho bure. Anaipongeza Kamati ya Kanuni kwa kazi nzuri waliyofanya. Anampongeza na kumshukuru mwenyekiti kwa uvumilivu. Anawaomba wabunge kupitisha kanuni hizo
Kweli mkuu mama kaongea maneno ya hekma sana ni miongoni mwa wanawake wenye hekima sana kwenye bunge hili.
 
Mbona Wajumbe wamepangwa? kwa nini isingeachwa wazi kwa mWenye Jambo akasema Mwenyewe,Inaonesha Wote wamepangwa Kusema ili Kutuliza Mukali.
 
Huyu USTAADHI ANATEMA NONDO KABISA HAPA. NATAMANI KAHTAAN AU PONDA ANGEKUWA HUMU MJENGONI! ANANIKOSHA SANA NA BUSARA ZAKE
 
Watu wanavyopongezana kwa kushikamana kwa yale waliyotofautiana ni bora zaidi kabla ya kupongezana kwa yale waliokuwa wanakubaliana. Maneno ya Sheikh Kundecha
 
Mbowe kaanza kwa kuunga mkono azimio kwa 100%
 

Siku zote tukiacha uongo ujitanue nasi pia tutaonekana waongo.
Ebu tuache kukubali uwongo utuongoze, Huyu
Simiyu Yetu ni mjumbe kweli wa bunge maalmu la katiba?

Pili aliemteuwa ni nani?

Tatu aliemteua alizingatia vigezo gani?

Nne Simiyu Yetu anastahili kweli?

Tano mjumbe wa bunge maalumu la katiba anapata wapi muda wa kubishana humu jamvini wakati vikao vikiendelea?

Pia tukimpima uwezo wake wa kufikiri kupia the way anavyopost
humu ndani nadhani jibu lipo wazi

Napenda kudeclare interest kuwa sina ugomvi wowote na Simiyu Yetu wala chuki binafsi/wivu.
 
Mkuu hapa hakuna habari ya vyama tunatunga katiba ya watanzania mhona unataka tuanze kujadili vyama na siasa kama unataka siasa nenda kalenga na chalinze.
 
Ccm hawaitaki katiba mpyaa maji yamewafika shingoni kura ya siri lazima hawataki wakae pembeni watuachie katiba yetu.
 
Mbowe anaendelea kwa kumshukuru viongozi wa dini kwa kusaidia kuleta hali ya utulivu bungeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…